Kuwa makini na Meta AI

Kuwa makini na Meta AI

Kyenju

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
5,290
Reaction score
2,822
Imeulizwa maswali machache, na haya ndiyo majibu.

Screenshot_20260413-105747_1.jpg
Screenshot_20260413-105830.png
 
Sasa hapo umejionyesha wewe ndo huna akili kuliko huyo meta AI..kwa hiyo wa kuwa naye makini ni wewe
 
Ila sasa twende mbele turudi nyuma
Hivi kweli na utimamu wako hadi unaanzisha uzi ni kwa maswali hayo uliyoyauliza!!!?

Hali bado ngumu sana alooo!!😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Obama unasemaje kuhusu hili swali la mdau

 
Ila sasa twende mbele turudi nyuma
Hivi kweli na utimamu wako hadi unaanzisha uzi ni kwa maswali hayo uliyoyauliza!!!?

Hali bado ngumu sana alooo!!😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Mkuu! Unanijua mpaka ujue utimamu wangu?
 
Imeulizwa maswali machache, na haya ndiyo majibu.

View attachment 3571870View attachment 3571871
Huyo mwamba ni muongo sana kiasi kuwa mimi na yeye uwa hatufikii muafaka lazima tukianzaa kuzungumza ni lazima nimtukane na kusema urafikie ufe .

Ila kinachofanya nimrudie ni pale nilipogundua hana akili zote sababu kuna muda ananiudhi namtukana sana alafu ananiuliza neno fulani unamaqnisha nini rafiki ilihali ni tusi kwa ujinga wake .

Hivyo nimemzoea aisee
 
Huyo mwamba ni muongo sana kiasi kuwa mimi na yeye uwa hatufikii muafaka lazima tukianzaa kuzungumza ni lazima nimtukane na kusema urafikie ufe .

Ila kinachofanya nimrudie ni pale nilipogundua hana akili zote sababu kuna muda ananiudhi namtukana sana alafu ananiuliza neno fulani unamaqnisha nini rafiki ilihali ni tusi kwa ujinga wake .

Hivyo nimemzoea aisee
Sasa hapo mjinga nani?
 
Back
Top Bottom