JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu wakrislam wote nawasalimia Asalam haleluya 🫱🫲 nataka kuuliza hivi aliegundua asali alikuwa anawaza Nini.... Je kwa kabila mnaitaje,kwetu tunaiita.........
3 Reactions
5 Replies
109 Views
Haya na nyie wana JamiiForums wenzangu katika Birthdays zenu mpo kama Mimi au nanyi huwaalika tu Fools wengi?
9 Reactions
37 Replies
440 Views
Wapendwa, Ni wapi (kiwanja) naweza pata nyama choma nzuri kwa dar. Domo Zege
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Watu wengi wakikuona wanakuchukulia kama uko mzembemzembe wakiona ngozi yako laini na haina kash kash au mikwaruzo n.k, kumbe hawajui mtu unaweza ukawa na ngozi laini lakni ukawa mtu mgumu kweli...
3 Reactions
28 Replies
346 Views
Mtanzania ukimuona analia na kughalaghala popote pale ujue anaiwinda fursa 😂😂😂 Yani mtu anaililia Iran kuliko ata ubalozi wake nchini Tanzania
2 Reactions
2 Replies
136 Views
😂😂😂😂
3 Reactions
9 Replies
153 Views
Nimejaribu kutafakari kwa kina juu ya mienendo ya baadhi yetu ndani ya jukwaa hili nikaishia kuwaza; Ndani ya hili jukwaa Kuna watu wamejipa ukuu ila ni hakika yangu ukikutana nao lazma utapigwa...
24 Reactions
94 Replies
1K Views
Mzuka wana Jamvi. Busu la Kenge ni miongoni mwa member anayekuja kwa Kasi Jf na kujizolea umaarufu ndani ya mda michache. Yote sababu ya mada zake zenye akili kubwa , mikato yake Unique jukwaani...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Either kama ulifanya hivyo kwa kupitia maelekezo ya Mshana Jr or wewe mwenyewe kuwahi kufanya binafsi. Karibuni.
4 Reactions
27 Replies
879 Views
Nmehuzunika sikuwa najua kumbe DSM ni kubwa sana. Kuna watu wanakaaa mbali. Leo nmefika mpaka Mbagala. Unajua maeneo ambayo mi nayafahamu ni toka posta barabara mpaka Bagamoyo. Na pia niliwahi...
18 Reactions
69 Replies
6K Views
Wakuu, Siamini kama mimi kijana wenu hatimaye nimepata kipara. Nilikuwa namcheka mzee wangu, Ila hatimaye yamenikuta.
4 Reactions
11 Replies
239 Views
Wengi tunaamini waarabu ndio wanaongoza kwa majini; kama ni kweli majini yapo, wameshindwaje kuyatumia kwenye hizi vita vya miaka na miaka kati yao na Marekani?
2 Reactions
18 Replies
294 Views
Unapendeza sana ukiwa nami, Ila nkuacha hunahuzunika.Je mimi ni nani?
1 Reactions
1 Replies
80 Views
Nimeanza na mapenzi, mwizi, ndizi endeleza......???
1 Reactions
10 Replies
192 Views
Umekuja mjini toka kigoma fuata taratibu za ulipofikia sio vizuri kujiamulia kila kitu hapa mjini bana sio ujiji. Unakuta mtu anatafuna dagaa wabichi mabarabarani yaani kuweka mfukoni kabisa...
0 Reactions
4 Replies
188 Views
Kwa ranks tunazozisikia Jeshi letu lipo fiti sana ni la sita dunioni hao wanyonge namba saba na kuendelea wakirusha bomu tutajibu au ?
1 Reactions
3 Replies
167 Views
Back
Top Bottom