JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama Iran hawatalegeza masharti ya upatikanaji wa mafuta, tunakoelekea siku 60 zijazo magari yetu tutayageuza kuwa mabanda ya mifugo tu. Safari ya kutoka sehemu moja kwenda kwingine itakuwa...
8 Reactions
20 Replies
269 Views
Wachawi japo tunawakemea vikali sana, lakini mimi nashukuru uwepo wao kwa kiwango kikubwa! kusingekuwepo uchawi, sijuwi hali ingekuwaje?! wote tunajua Mungu yupo lakini si wote wanaomwamini &...
1 Reactions
11 Replies
875 Views
Wana Jf kwa yeyote anayemjua mganga fundi kweli kweli hasa maeneo ya Bagamoyo!
0 Reactions
56 Replies
6K Views
jamani kama kuna waganga wa kusafisha nyota ya mapenzi au kumpata unayemtaka basi wanaweza fanya na vice verse, yaani kumfukuza usiyemtaka. Nimependwa na babu jinga afu haelewi, nioge dawa gani...
2 Reactions
58 Replies
17K Views
Yeyote ambaye anaweza nisaidia kwa hili jambo pls PM me, ninayo shida ya mapenzi nahitaji litatuliwe. Tafadhali no fakes
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Unaweza nawe kunisaidia kushangaa na kujiuliza maswali ninayojiuliza mimi kila inapofika wakati wa mchezo Tundu ni moja tuu lakini ufundi mwingi, MB wen we kibao, style kamala zote! Hivi haya yote...
11 Reactions
42 Replies
844 Views
Kuna siku nikiwa nikiwa mdogo nilikuwa namsifia mzee mmoja ni tajiri lakini yupo simple, mavazi yake huwezi kumdhania ni tajiri. Nikaambiwa huyo anafuata masharti maalum ya kuoga, haruhusiwi...
4 Reactions
19 Replies
374 Views
Jamani nimekuwa nikisikia kuhusu hili swala la utajiri wa ndagu. Unapata utajiri wa kutupwa kwa masharti magumu. Kama Kuna mtu anayafamu vizuri haya mambo naomba anielekeze niishi maisha ya kifalme.
5 Reactions
87 Replies
20K Views
Habari za hivi punde zinasema aliyekuwa mwenyekiti wq CUF Prof. Ibrahim Lipumba ametimkia CHADEMA na wanachama wengine kadhaa LEO TAREHE 1 APRIL! Habari hizo zinathibisha kuwa hata Mchungaji...
9 Reactions
24 Replies
537 Views
Kuna ndugu yangu anataka kuchukua huo uamuzi
1 Reactions
20 Replies
10K Views
Utakuta watu wakitofautiana wanabaki kutukanana maandazi wewe ama andazi wewe. Sasa kwanini andazi ama maandazi itumike kwenye lugha chafu wakati ni kitafunio pendwa? Utakuta hadi kiazi nayo...
1 Reactions
8 Replies
174 Views
Usishirikishe kila mtu kwa kila kitu chako, na jifunze kutambua matendo kuliko maneno. Wanafiki huongea vizuri, lakini vitendo vyao ndivyo vinawafichua
4 Reactions
2 Replies
132 Views
Amen! Hilo ni neno la hekima na shukrani ya kweli. Kuna baraka kubwa sana katika kuridhika na kutoa shukrani kwa kile ulichonacho mkononi, hata kama kinaonekana ni kidogo kwa macho ya kibinadamu.
8 Reactions
35 Replies
501 Views
Habari za Mchana Mwenzenu nimewiwa kujiunga na upadre ila nimependelea shirika hili la wajesuit, Naomba kwa wenye ufahamu wanisaidie nawezaje kujiunga na vigezo gani vinahitajika. Asanteni.
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Nipo hapa napata kahawa nzito na kashata huku nikimsubiri mgeni wangu, aliyeomba nimtumie nauli tangu jana. Ndani hakukaliki...
5 Reactions
27 Replies
355 Views
Nina miaka takribani mitano Huwa napita tu moshi na Arusha nikienda kwa kasongo Sijawahi kaaa kwa zaidi ya siku moja Pasaka hii yote nitakua huko...nahitaji kujua hotel nzuri na tulivu kwa...
8 Reactions
106 Replies
2K Views
Naona kitu kidogo huko insta utasikia mwaga moto kwenye comment
1 Reactions
14 Replies
167 Views
Mtu akipelekwa hospitali ya Milembe kwa mara ya kwanza, hasa akiwa na dalili za kuchanganyikiwa, hupelekwa kwenye chumba maalum. Ndani ya hicho chumba hakuna vitu vingi Ni ukimya tu na ukuta mmoja...
7 Reactions
30 Replies
578 Views
Tunaamini vibaka, wezi, wahuni, na watu wasiokuwa na tabia njema, nao pia huzeeka. Je, katika uzee wao, huwa tunawachukuliaje, kuna cha kujifunza chochote kutoka kwao? Je ni sahihi kuwaheshimu?
6 Reactions
72 Replies
713 Views
Nikisikiliza wimbo wa Kindamba kuniambia twende huwa najiuliza wanaoimbwa majina yao negatively wanajisikiaje? Mfano wimbo wa Yahaya wa Lady Jay Dee. Na mara nyingi ni waislamu ona mifano. 1...
5 Reactions
12 Replies
280 Views
Back
Top Bottom