Kwa mtazamo wako, gari ni nini?

Kwa mtazamo wako, gari ni nini?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,939
Reaction score
61,733
Gari ni sanduku la mabati lenye matairi linalotembea barabarani, hii ndio maana ya neno halisi gari. Kwa mtazamo wako, gari ni nini?
 
Gari ni moja ya steps za binadamu kujaribu kuwa kama Mungu.

Mungu yeye anaweza kuwa hapa na pale at the same time. Yuko kila mahali.

Akawapa miguu mtembee. Na kazi simple, tunza bustani.

Binadamu katika jitihaha zake za kujifanya kuwa Mungu akajikuta na shuguli kibao, akafikia kutengeneza gari ili aweze kuwa hapa na pale karibia muda uleule.

Amefanikiwa kwenda mbali zaidi, katengeneza ndege, rocket...

Huku wanasema UFOs ni teknolojia iliyopotea / iliyofichwa, inawezesha wasafiri kusafiri across different dimensions kwa spidi ya ajabu (wakina sie tunaamini UFOs ziko related roho waovu)

Huku wanajaribu na mahesabu yao kuvumbua namna ya kujitokeza sehemu nyingine kwenye hii fabric of space time. Yani uko Dar ghafla umetokea Japan. Au uko duniani ghafla umetokea Pluto.

In short gari ni ngazi moja kwenye staircase kujifanya kuwa Mungu. Ndomana utakuta watu wanaohusudu sana mali (magari) hawamuamini Mungu

:2Head:
 
Back
Top Bottom