Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,915
- 3,749
Je ni sahihi kwa wanajukwaa kujengeana mabifu, chuki na dharau?
mtu ako anafanya hivyo anaupungufu wa vitamini katika ubongo wakeJe ni sahihi kwa wanajukwaa kujengean mabifu,chuki na dharau?
Unajua naheshimungi Kila mutu kwa hii forum, but nashindwanga kukuwa mpole ninaporushiwa kombora (matusi).mtu ako anafanya hivyo anaupungufu wa vitamini katika ubongo wake
anaye ku attack mpotezee ukirudisha kombora unaonekana zuzu na anaweza kukuvurugia siku kuna watu kiasili ni wakorofi unapompa nafasi ya kujibizana unamwongezea nguvu potezea ajihisi mjingaUnajua naheshimungi Kila mutu kwa hii forum, but nashindwanga kukuwa mpole ninaporushiwa kombora (matusi).
Due Mimi nina intercontinental ballistic missile (ICBM) kwa kabati langu nikionanga muta ameni attack huwanga namrushia bomu ambayo iko nzito kuliko ile ako nayo.
Hii nimeipenda na kuanzia leo naanza kuifanyaia kazi.anaye ku attack mpotezee ukirudisha kombora unaonekana zuzu na anaweza kukuvurugia siku kuna watu kiasili ni wakorofi unapompa nafasi ya kujibizana unamwongezea nguvu potezea ajihisi mjinga
fanya kwa amani ya moyo wako
hakuna haja ya kupoteza nguvu zako kwa mambo yasiyokuwa na msingiHii nimeipenda na kuanzia leo naanza kuifanyaia kazi.
Haiwezi kuwa Jamii bila mabifu na chuki , wacha ziwepo tu . I love chaos , I love violenceJe ni sahihi kwa wanajukwaa kujengeana mabifu,chuki na dharau?
Kweli aisee!hakuna haja ya kupoteza nguvu zako kwa mambo yasiyokuwa na msingi
mbaya sana, haipendez , ni ushamba pia !Je ni sahihi kwa wanajukwaa kujengeana mabifu,chuki na dharau?
We nae😁Unajua naheshimungi Kila mutu kwa hii forum, but nashindwanga kukuwa mpole ninaporushiwa kombora (matusi).
Due Mimi nina intercontinental ballistic missile (ICBM) kwa kabati langu nikionanga muta ameni attack huwanga namrushia bomu ambayo iko nzito kuliko ile ako nayo.
Sasa lishoga limoja Echolima1, linakuja kunivuruga akili kwa nini nisilivae kwa nyuma kwa pupa zote hadi haja zake zitimie?We nae😁
Ila wewe unapenda ugomvi sanaSasa lishoga limoja Echolima1, linakuja kunivuruga akili kwa nini nisilivae kwa nyuma kwa pupa zote hadi haja zake zitimie?