Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 38,070
- 57,721
Kutokana na uzee wangu, watoto wangu wote walishaondoka nyumbani na wako kwenye miji yao wakijitegemea. Wengine wameoa na wengine wameolewa.
Changamoto iliyopo kwa hawa watoto, kwa sasa hawanijali kabisa ata kuthamini ule mchango wangu uliowafikisha hapo walipo, pamoja na kuwasomesha na kuwakuza hawa watoto.
Mama yao ndio amekuwa akifaidi matunda yao na mimi hawanithamini tena, kwa sasa mama atulii nyumbani, siku zote amekuwa ni mtu wa safari.
Leo ataenda kwa mtoto yule, kesho kwa yule n.k na kupelekea muda mwingi kubaki mimi mwenyewe nyumbani nikiwa najipikilisha na huu uzee wangu.
Kutokana na mazingira ya kubaki mwenyewe nyumbani pamoja na uzee wangu, nimepata wazo la kuuza nyumba, mifugo na mashamba yangu, ili nipate hela nikasome ‘certificate’ kwenye vyuo mbalimbali ili kusogeza siku zangu za kuishi; kwa kukutana na vijana wa huko ambao watanipa kampani ili nisiwe mpweke na kufa kwa mawazo.
Nitakuwa nasoma kwa kujisajili vyuo mbalimbali, mwaka huu chuo hiki, mwaka kesho chuo kile n.k muhimu tu niwe bize, pia nipate kampani ya kuongea nao na kucheka.
Kwa miaka yangu hii 79 najua nikienda huko vyuoni nitapata amani zaidi kuliko kukaa hapa nyumbani mwenye nikiwa najipikilisha.
Yangu ndio hayo;au mna la kunishauri?Changamoto iliyopo kwa hawa watoto, kwa sasa hawanijali kabisa ata kuthamini ule mchango wangu uliowafikisha hapo walipo, pamoja na kuwasomesha na kuwakuza hawa watoto.
Mama yao ndio amekuwa akifaidi matunda yao na mimi hawanithamini tena, kwa sasa mama atulii nyumbani, siku zote amekuwa ni mtu wa safari.
Leo ataenda kwa mtoto yule, kesho kwa yule n.k na kupelekea muda mwingi kubaki mimi mwenyewe nyumbani nikiwa najipikilisha na huu uzee wangu.
Kutokana na mazingira ya kubaki mwenyewe nyumbani pamoja na uzee wangu, nimepata wazo la kuuza nyumba, mifugo na mashamba yangu, ili nipate hela nikasome ‘certificate’ kwenye vyuo mbalimbali ili kusogeza siku zangu za kuishi; kwa kukutana na vijana wa huko ambao watanipa kampani ili nisiwe mpweke na kufa kwa mawazo.
Nitakuwa nasoma kwa kujisajili vyuo mbalimbali, mwaka huu chuo hiki, mwaka kesho chuo kile n.k muhimu tu niwe bize, pia nipate kampani ya kuongea nao na kucheka.
Kwa miaka yangu hii 79 najua nikienda huko vyuoni nitapata amani zaidi kuliko kukaa hapa nyumbani mwenye nikiwa najipikilisha.