alichofanya ni hivi: alianza kumnyanyua ndama akiwa bado mdogo kabisa alivozaliwa, akawa anamnyanyua huyo ndama kilasiku.
siku zilivyokua zinaenda ndama anazidi kukua. nayeye uwezo wake wa misuli...
Katika harakati zangu za relationships nimekutana na variety ya wasichana wa kibongo tofauti tofauti ila pia nimepeperusha bendera katika mataifa tofauti.
Nimekuwa na msichana mmoja wa kizungu na...
Kutokana na uzee wangu, watoto wangu wote walishaondoka nyumbani na wako kwenye miji yao wakijitegemea. Wengine wameoa na wengine wameolewa.
Changamoto iliyopo kwa hawa watoto, kwa sasa...
Elimu yako, inakusaidiaje au itakusaidiaje katika kujiajiri na kutengeneza ajira kwa wengine?
Sema ukweli, achana na mambo ya kujimwambafai na wingi wa vyeti.
Karibu kwa mjadala.
Wachagga kuanzia mwaka 2027 , wamekubaliana watakuwa wanatumia majina ya kiasli yenye maana na kuachana na haya majina ya Mabeberu yasiyo na maana.
Wazazi Gen Z wamekuja na majina yasiyo na maana...
Mjinga anatakiwa apuuzwe...
Unakuta mtu anajibizana na fool na kurushiana matusi hadharani..sasa hapo wote tutawaona wajinga.
#A fool is fool never change.
Kitu kimoja kizuri na cha kipekee kuhusu mwanadamu ni uwezo wa ustahimilivu...! Haijalishi siku imekuwaje au umekutana changamoto ni kubwa kiasi gani, kila unapolala na kuamka, unakuwa na nafasi...
Happy birthday Darling.
I'm not good in writing sorry for this. To me wewe ni special gift and I always thanks God to have you🥰🥰. You know how much I love you.
Mungu akupe maisha Marefu My...
Mtoto ana biashara yake nzuri tu, pesa ipo,
anamtumia pesa mama yake kila mwezi milioni 1,
Mchungaji wa kilokole kampiga swaga mama wa watu, katika milioni anachukua laki 6.
Gari zake ni za bei...
Mimi huo mwaka nimeamua sitak bifu na yeyote na sita ingilia faragha ya mtu kutoka leo.Niliowakosea naomba msamaha na maisha yaendelee na jukwaa lidumu.
Natangaza aman kwa wote tusiish na chuk...
Kuna Yule member ambaye pindi unapokutana na thread ama comment yake mahali unaanza kwa kugonga like Kwanza kisha unatulia na kusoma vizuri alichokiandika kwa sababu unajua ameandika madini...
Nongo ninini?
Taka za mwilini: Huu ni uchafu unaojikusanya mwilini, mara nyingi kutokana na jasho lililokauka na vumbi kwenye ngozi.
Wengi wamekulia kwenye mazoea ya kwamba mwili huwa hautakati...
Wakusanye vijana wote wanaotafuta ajira, wape birika la kahawa watembeze maeneo ya vituo vya mabasi au maeneo yenye msongamano wa watu.
Kusanya vijana wote wanaoenda kwenye mabanda kuangalia...
Kuna umri ukishafikisha pesa haitakiwi tena kuwa kipaumbele chako. Kwa sababu, kula yako inakuwa ni ya kawaida (kulinda mwili uwe na afya), usafiri ni wakawaida (miguu ipate mazoezi), pakulala pa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.