Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 368,210
- 851,785
Kesi maarufu ya "Wabakaji wa Dodoma" iliyohusisha binti wa miaka 17 kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam, ilihitimishwa kwa watuhumiwa wakuu kupatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela. Watuhumiwa hao walipatikana na hatia ya makosa ya kubaka kwa kundi na kulawiti.
Mruhumiwa mkuu alikuwa NYUNDO
Mruhumiwa mkuu alikuwa NYUNDO