kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Chaneli teni.walikua ni wachekeshaji wazuri sana sijui vimepotelea wapi vipaji hv!!!ni mheshimiwa Pembe na mzee SengaView attachment 31923
Wachekeshaji wa Tanzania wana-expire mapema sana, sababu ni kuingia katika fani bila kuisomea shule. Unakuta mtu analazimisha kubadilisha sura au sauti ili kuvuta hisia za watazamaji, angalia wenzetu unafikia kucheka kwa maudhui yaliyopo kwenye ujumbe wa msanii.