Ni mwalimu babu na mjukuu.

Ni mwalimu babu na mjukuu.

Adam waTZ

Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
83
Reaction score
9
Ilikuwa ni noma mbaka huruma baada ya dogo mmoja kumuaga mwalimu wake ili arudi nyumbani kwa kisingizio kuwa babu yake amefariki baadaye mwalimu anaenda msibani eti babu anamwambia mjukuu jifiche wewe si umetoroka? Mwalimu wako anakuja, dogo anajibu babu jifiche wewe nimemuaga umekufa daah babu alinyog'onyea hadi chini!!.
 
Back
Top Bottom