kwa nin ume2mia mzee wa kichaga mkuu?Baba mmoja wa kichaga aliingia chumbani kwa watoto wake watatu wamelala wamewasha feni namba 5, akafoka na kuwaambia: "ati nini, nyie ni watatu na feni namba 5 kwanini msiweke namba 3?"
kwa nin ume2mia mzee wa kichaga mkuu?