JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kilema na kipofu walikuwa safarini ikatokea gari likawa chafua kwa maji machafu yule kilema akamwambia tulikimbize gari kipofu akamwambia tulliza munkari nilisha save number usipime ni full mavicheko
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna mchungaji alikuwa akihubiri kanisani akisema Mtu atakayetenda mema siku ya kwenda mbinguni atakwenda kwa ndege. Sasa ikafika siku ya kwenda mbinguni, jamaa mmoja akafanikiwa kwenda kwa ndege...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Eng Stella Manyanya kama nilivyomsikia yeye mwenyewe katika mahojiano kwenye kipindi cha mahojiano kabla ya bunge leo asubuhi tbc taifa. Happy birthday Mh. Eng. Stella...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Try your name in JAPANESE.. Its funny..... A- ka, B- tu, C- mi, D- te, E- ku, F- lu, G- ji, H- ri, I- ki, J- zu, K- me, L- ta, M- rin, N- to, O- mo, P- no, Q- ke, R- shi...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Mangi mmoja muuza vyepe alitoa mpya ya mwaka baada kutaka kudanja kwa kuendekeza pesa na msos anao, unajua ilikuaje... IKO HIV....... Mangi kijiweni kwake anauza vyepe mara njaa ikaanza kumuuma...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
She came and conquered JF with her no holds barred kitsch ..............................she was raunchy yet hilarious performing artist..............................but after being faced with a...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Reason: Banning JF members Week-end njema !
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Jamaa mmoja mvuta bangi alipo maliza ku vuta alianza kutembea kwa magoti akaulizwa mbona hausimami akasema nikisimama nitagusa mawingu ebwana ilikuwa nimavicheko.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani mbona mgao ni kama haupo tena baada ya wabunge wa CCM kugeuka wapinzani hapa juzi kati. Kumbe wakitaka wanaweza kulimaliza tatizo.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi ni kweli kile kitufe cha Like kinatumika kum notify mtu umechangia post yake? tehe tehe.
2 Reactions
25 Replies
2K Views
HOME INTERNAL MEMO FROM: FATHER TO: ALL DEPENDANTS AND RELATIVES CC: MOTHER DATE: TODAY ECONOMIC SITUATION AND GROUND RULES Due to...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamaa mmoja alimpenda sana mke wake. siku moja mkewe akapata ujauzito ktk mazingira ya kutatanisha. siku ya kujifungua, jamaa akaangalia yule mtt, akathibitisha kweli C wake. Uamuzi aliofikia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
I am back....................................
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Wagonjwa wa akili walipanga kutoroka wakasema; tukifika tumpige mlinzi tunnyang'anye ufunguo tuondoke zetu. walipofika hawakumkuta mlinzi na mlango ulikuwa wazi. wakajisemea;dah..!!,mpango wetu...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
(BABA):Binti yangu, kuanzia leo kila ifikapo saa 11 jioni unatakiwa uwe ndani ya nyumba,sawa? (BINTI): Lakini baba mimi si mtoto mdogo tena,nimekua na ninajua ninachokifanya! (BABA): Najua...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
JM ...Nakufagilia mwane wane..kuna mzungu mmoja aliingia kwenye anga zako ukampa kubwa japo stori yenyewe siijui vizuri ila nilifurahi sana.. hawa wazungu ni wabaguzi sana ukiwa kwao huko. Na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
chukua vyote NIACHIE Uporoto01.:angel: Kwa hiyo yake saini, Cheusi kanisaliti, Nimeshindwa ushindani, Uporoto ni smati, Mangala wake mwandani, si yangu hiyo bahati, Nimeshindwa mkakati, Uporoto...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
A bus load of politicians were driving down a country road when all of a sudden the bus ran off the road and crashed into a tree in an old farmer's field. The old farmer after seeing what...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1) mkinga ndili mkinga lakini ndili mborn town 2) okhuswa natokhaswe ila chamoto jotwikhoma 3) khoo avanu va kho dasalamu khoo vatiye chips kumbe ndoosa 4)avange vatie alini taarabu kumbe...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
TO: All Employees Subject: Special High Intensity Training. In order to Insure that we continue to produce the highest quality work possible, it will be our policy to keep all employees well...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…