Mvuta bangi

Mvuta bangi

Luthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2011
Posts
519
Reaction score
105
Jamaa mmoja mvuta bangi alipo maliza ku vuta alianza kutembea kwa magoti akaulizwa mbona hausimami akasema nikisimama nitagusa mawingu ebwana ilikuwa nimavicheko.
 
Jamaa mmoja mvuta bangi alipo maliza ku vuta alianza kuchechemea akaulizwa mbona unachechemea akasema nikisimama nitagusa mawingu ebwana ilikuwa nimavicheko
Mkuu, hii kali sana. Ila maana neno kuchechemea ndio limeharibu maana bora angainama ingekua vizuri, kama vp edit.
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Mkuu, hii kali sana. Ila maana neno kuchechemea ndio limeharibu maana bora angainama ingekua vizuri, kama vp edit.
<br />
<br />
asante mkuu kwakuni sahihisha lkn niuzee tu unaleta problame haina mijotro
 
Bangi ihalalishwe bungeni kuna wabunge watachhangamka hasa wa magamba
 
Bangi ihalalishwe bungeni kuna wabunge watachhangamka hasa wa magamba
<br />
<br />
kweli hawa wa mgamba watakuwa ni mateja wanakula unga ndiyo maana wanalala au
 
oookey ........i have been asking maself why waziri fulani alisinzia katikati ya kelele za meza na hoja zito mjengoni
si ni mtarime?
Alikuwa kwenye stim!
Duh....wako wengi....
Angalia hata werema..bangi tupu
kila wakati maoni yake yaki stim stim tu...
Wengine wengi waliopo na waliopita wanjulikana

magamba ni tatizo moja la ccm
stim ndani ya barza la mawaziri ni lingine pia







Bangi ihalalishwe bungeni kuna wabunge watachhangamka hasa wa magamba
<br />
<br />
 
inamaana hata bi kiroboto anakula mijanini? Hata ndugai ha ha ha
 
Alosto inawafanya walale..bhange mbaya wajameni, Usijaribu.!
 
KWELI KABISAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ukivuta bangi unarefuka:faint:
 
Back
Top Bottom