Kuna mzee mnoko mtaani kwetu baada ya umeme kutokatwa siku kadhaa kawapigia Tanesco eti wamesahau kukata jibu alilopewa 'acha tabia za shangazi yako' hahaha! sidhani kama atawapigia tena.
Hali ya umeme ni tata kaka, mitambo inayotumika alinunu nyerere!yaani wamejitahidi ili bajeti ya nishati ya madini iishe mambo yaanza, ka huamini subiri uone!ni kiini macho ndugu zangu!
Yaani wakilogwa waipitishe bajeti yake.. huo mgao utakaofuatia haujawahi kuonekana.. jiulize mbona wakati wa kampeni mwaka jana umeme haukukatika hata siku moja eti leo maji yamekauka ghafla.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.