Hawezi kulogin, atalogin vipi akiwa na ban !?
<br />Mimi simo nyie changia hiyo hoja mje muone kama nyote hamtakula ban!!!!<br />
<br />
Tiba
<br />husninyo angeongea tu hapa ungemuona PAW anavyochoza.ana misifa huyu kama dully.
PAW amesimamishwa Kazi kwa Ufisadi wa Generetor, alikuwa anataka kumuhonga Invisible ili ilibebe. Kweli Ufisadi unakuwa kwa Kasi Tanzania mpaka PAW anataka kutukatia Umeme katika SERVER za JF. Haya PAW nenda salama na usirudi tena hapa hatukutaki kama Kikwete na Chama chake anavyochukiwa na Watanzania kwa Ufisadi.
Uwe na Amani huko ulipo PAW
Uh.
I thought am serving a ban kumbe is a joke. But am around watching and moderating.
Si wangemsimamisha kazi kama Jairo tuu? Kwa nini wamfukuze. Tanzania mtu hafukuzwi kazi.