An old masai man was
struggling a bit with english in
abroad. He enters a restaurant
and wants to order chicken
but he can't remember what is
chicken in english. So he sees one guy at a table...
Wana JF...
Ndugu yenu nipo kwenye wakati mgumu hakuna kipindi kigumu kwenye maisha yangu kama iki...
Hizo benki zote zinanidai jumla ya milioni 80
Kila benki nilikopa milioni 20...
Msichana mzuri aliweka tangazo kwenye gazeti akisema anatafuta mwanaume atakayemwoa,ambaye hata mwacha na atamridhisha kitandani.
kesho yake akashangaa jamaa anagonga mlango hana miguu wala...
TEACHER: Why did you laugh?
BOY: I saw 1 strip of your brazia.
TEACHER: Get out of the class for 1 week. 2nd boy laughed.
TEACHER: why did you laugh?
BOY: I...
Nimejiuliza sana, leo nimeona bora niulize tu ingawa wengi watasema nimekuja na katabia kangu ka ukabila. Liwalo na liwe.
Naomba nijuzeni waungwana, kuna hawa watu wanajiita wachaga........sijui...
Hii ni Post yangu ya 499.
Nimeshamaliza kuuza Binzali yangu sasa kale kafaida ningependa nishirikiane na yeyote katika kukala.
Jaribu kuandika kitu kitakachoniudhi au kunifurahisha na kufanya Post...
HouseGirl alipika mchicha ila haukuiva,mama aliporudi wakati anakula akagundua mchicha mbichi,akamwambia housegirl kuwa mchicha haujaiva ila yeye(HouseGirl) akabisha, mama kwa hasira akasema...
A salesman was attending an interview for a new job.
"so how old are you,sir?" asked the manager
"forty" replied the salesman.
"how long did you work at previous company?"
"fifty years" he...
mwalimu ni mwana kinoma yani hadi raha mpaka chichogoni.......walimi kama hawa mm nawamind kinoma yani mana hachapi waala nn na akikuita utasiki oyoooooo jibu swali kama vipi usinizingue
KATIKA MAONGEZI YA KUULIZANA MAANA YA MANENO KATI YA MWANAFUNZI NA TEACHER,-------TEACHER,NIAMBIE MAANA YA NENO CHAMELION KWA KISWAHILI,--------MWANAFUNZI-----,,,,,,Mhhhhh ni KALAKI,-----.
Imeelezwa Bungeni kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanafanya adabrakadabra, yaani wimbo wa mazingaombwe (kiini macho) kwa wananchi ili waamini wanayosema wakati si kweli. Wabunge...
Salaam wana Jf.
Kuanzia asubuhi kila nikijaribu kufungua jukwaa la siasa napata tabu sana. Yaani moyo unakuwa mzito sana. Kichwa hakipo tayari mimi niyasome ya jukwaa la siasa.
Nimeamua...
kwa mabreaking news ndio usiseme, kwa vituko napo looh,kwa maoni ndio nyumbani kwake, kwa elimu napo heeeh, kwa kufurahisha ndio mahali pake, ya kuudhi pia yamo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.