Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Salaam wana Jf.
Kuanzia asubuhi kila nikijaribu kufungua jukwaa la siasa napata tabu sana. Yaani moyo unakuwa mzito sana. Kichwa hakipo tayari mimi niyasome ya jukwaa la siasa.
Nimeamua kujilazmisha, ila naona machozi yananitoka. Kila nikijaribu kupitia topic machozi yananitoka nashindwa kuimalizia.
Nahisi kama nitakuwa nimefanyiwa kama yale ya yule trafiki wa Tanga. Naombeni mnipe ushauri. Hili jambo linanitesa sana.
Naombeni ushauri wenu kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Asanteni sana.
Kuanzia asubuhi kila nikijaribu kufungua jukwaa la siasa napata tabu sana. Yaani moyo unakuwa mzito sana. Kichwa hakipo tayari mimi niyasome ya jukwaa la siasa.
Nimeamua kujilazmisha, ila naona machozi yananitoka. Kila nikijaribu kupitia topic machozi yananitoka nashindwa kuimalizia.
Nahisi kama nitakuwa nimefanyiwa kama yale ya yule trafiki wa Tanga. Naombeni mnipe ushauri. Hili jambo linanitesa sana.
Naombeni ushauri wenu kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Asanteni sana.