wanasiasa acheni bac

Mr. Magena

Member
Aug 30, 2011
35
4
Kulikuwa na msiba wa mtoto
wa mbunge ulipofika mda
wakuongea kwa niaba ya
familia,mbunge akajisahau
nakusema wananchi oyee!
 
Bila kukosea ni Mbunge wa magamba huyo aibu kwenu kampeni mpaka kwenye misiba
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom