Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,368
Msichana mzuri aliweka tangazo kwenye gazeti akisema anatafuta mwanaume atakayemwoa,ambaye hata mwacha na atamridhisha kitandani.
kesho yake akashangaa jamaa anagonga mlango hana miguu wala mikono.mjadala wao ukawa hivi.
Mrembo:unagonga unataka nini wewe?
Jamaa:niliona tangazo lako kwenye gazeti,nimeamua nikuoe
Mrembo:nitakupeleka wapi mtu huna miguu wala mikono.
Jamaa:una bahati kuwa na mimi,sina mikono kwahiyo siwezi kukupiga,sina miguu kwahiyo siwezi kukuacha.
Mrembo:sasa we kweli kitandani uko fiti?
Jamaa:sasa ndo ujiulize sina mikono wala miguu ila mlango niliugonga na nini.
kesho yake akashangaa jamaa anagonga mlango hana miguu wala mikono.mjadala wao ukawa hivi.
Mrembo:unagonga unataka nini wewe?
Jamaa:niliona tangazo lako kwenye gazeti,nimeamua nikuoe
Mrembo:nitakupeleka wapi mtu huna miguu wala mikono.
Jamaa:una bahati kuwa na mimi,sina mikono kwahiyo siwezi kukupiga,sina miguu kwahiyo siwezi kukuacha.
Mrembo:sasa we kweli kitandani uko fiti?
Jamaa:sasa ndo ujiulize sina mikono wala miguu ila mlango niliugonga na nini.