Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF...
Ndugu yenu nipo kwenye wakati mgumu hakuna kipindi kigumu kwenye maisha yangu kama iki...
Hizo benki zote zinanidai jumla ya milioni 80
Kila benki nilikopa milioni 20 nimetapeliwa zaidi ya milioni 50 na wazaire...
Milioni 10 niliingiza kwenye biashara ya dagaa nayo ikakata..
Milioni 20 nilinunua Costa kwa muhindi nayo imekufa gear box ipo garage..
Mke wangu nae kakimbia naombeni msaada wana JF wenzangu..
Nifanyaje niokoeni jamani
Ndugu yenu nipo kwenye wakati mgumu hakuna kipindi kigumu kwenye maisha yangu kama iki...
Hizo benki zote zinanidai jumla ya milioni 80
Kila benki nilikopa milioni 20 nimetapeliwa zaidi ya milioni 50 na wazaire...
Milioni 10 niliingiza kwenye biashara ya dagaa nayo ikakata..
Milioni 20 nilinunua Costa kwa muhindi nayo imekufa gear box ipo garage..
Mke wangu nae kakimbia naombeni msaada wana JF wenzangu..
Nifanyaje niokoeni jamani