Nawasalimu wakuu...
Nafurahi sana kuiona Jf ikikua na members kuongozeka sana!! Nimetumia muda mrefu kidogo kusoma kinachoandikwa hapa jukwaani kwa sasa nikifananisha na tulikotoka...
Naona sasa...
Huyu Bamedi leo kanikomesha aise.
Nilikuwa kaunta napata Moja baridi Moja uvuguvugu, ghafla akatokea mwamba, yule mwamba kwa sauti ya majivuno na yamajigambo si akamwambia yule Bamedi:
We...
1 Leo nimeota nimeenda kwenye shughuli kwenye kuandaa sasa nikaamshwa da nimekasilika sana
2 leo nimepanda baskel inayoachia mara paap ikaachia nikiwa mlimani mnajua kilichonikuta
3kijana...
Salamu wakuu!
Sio kila siku maisha magumu. Leo nipo hapa kurahisisha maisha ya watu, japo kwa kiasi kidogo cha vocha au bucket ya bia.
Jitokeze, jishindie, furahia wikendi.
Vigezo na masharti...
Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .
Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili...
Wakuu,
Inabidi kubadilika; kutolewa mtoko wa kwenda sehemu fulani si kupeleka mdomo na tumbo tu, bali pambana ata uchangie kachumbari.
Hii itakujengea heshima na kukuonyesha wewe ni mtu wa...
Hell
Una weza uka una ongea na mtu kwenye baada ya mda ana kwambia subiri nipokee hiii simu ana pokea mara ya kwanza af ana kurudia ile mna ongea tena huyoo tena ana kusubirisha yaan kiufupi...
jamaa zangu mara nyingi huwa wananiambia "Chidy unapenda sana chini we jamaa" kwa kweli siwakatalii mimi napenda sana chini na huko kumenisaidia katika mambo mengi sana kwa kuwa nilipoanza kuwa...
Hiv mwanaume kamili unawezaje ekeza ela yako kwenye kamari kama sio upumbavu.
Fuga kuku,mbuzi,nguruwe,ngombe ama mfany biashara.maana mkamaria n mtu...
Ukiwa mume mwenye mke zaidi ya mmoja basi kila hatua unayochukua inakubidi uitafakari mara mbili. Hayo yametokea jana baada ya baba mwenye mji wake kumpost mke mdogo kwenye Status WhatsApp
Baada...
1. 2006 - 2015
2. 2016 - 2026
Uchambuzi wa vizazi viwili vya JamiiForums (JF) unaonyesha mageuzi makubwa kutoka kwenye jukwaa la wasomi na wachambuzi wazito hadi kuwa uwanja mpana wa kidijitali...