Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,883
- 67,334
Hell
Una weza uka una ongea na mtu kwenye baada ya mda ana kwambia subiri nipokee hiii simu ana pokea mara ya kwanza af ana kurudia ile mna ongea tena huyoo tena ana kusubirisha yaan kiufupi ukipigiwa simu au ukiMpigia simu huyo mtu ana kusubirisha kama mara tatu
Amfiki mwafaka una mtafasiri vip?
Una weza uka una ongea na mtu kwenye baada ya mda ana kwambia subiri nipokee hiii simu ana pokea mara ya kwanza af ana kurudia ile mna ongea tena huyoo tena ana kusubirisha yaan kiufupi ukipigiwa simu au ukiMpigia simu huyo mtu ana kusubirisha kama mara tatu
Amfiki mwafaka una mtafasiri vip?