Kubet ni upuuz?

Kubet ni upuuz?

Screenshot_20260406-130034~2.jpg
 
Hiv mwanaume kamili unawezaje ekeza ela yako kwenye kamari kama sio upumbavu. fuga kuku,mbuzi,nguruwe,ngombe ama mfany biashara.maana mkamaria n mtu mpumbavu mshenz asiyejieelewa.
wanadai eti inachangamsha akili na kuchochea nguvu za ya kutafuta pesa zaidi :1Head:
 
Kila kitu ukikifanya kwa ukubwa na umakini kinaleta
Swala la kubeti ni sawa na mtu kulima shamba bado asitoe chochote shambani ukizingatia muda alotumia kuwekeza tofauti na kamari kua tajiri ni sikumoja lakini pia kufirisika ni pua na mdomo
 
Back
Top Bottom