Nyani wa Somanga
JF-Expert Member
- Jan 21, 2026
- 410
- 561
Huyu Bamedi leo kanikomesha aise.
Nilikuwa kaunta napata Moja baridi Moja uvuguvugu, ghafla akatokea mwamba, yule mwamba kwa sauti ya majivuno na yamajigambo si akamwambia yule Bamedi:
We Changu mbele si akamalizia na Doa, chukua bia kumi unywe uku akitoa wallet na kulipia ule mkojo wa Filauni.
Alivotoka yule mwamba kama hatua 3 hivi, si nikamfata yule bamedi nikamkonyeza akaja, nikamwambia:, kumbe wewe inakulipa sana eti? Yani huyu Popoma kakupombekesha muda mchache hivi!?
Unataka kujua tusi aliloniachia huyu Bamedi!?
Alinambia: kama vipi mpelekee ulambe Bingo na wewe.
Dah! Nilitamani nimrukie aise.
Nilikuwa kaunta napata Moja baridi Moja uvuguvugu, ghafla akatokea mwamba, yule mwamba kwa sauti ya majivuno na yamajigambo si akamwambia yule Bamedi:
We Changu mbele si akamalizia na Doa, chukua bia kumi unywe uku akitoa wallet na kulipia ule mkojo wa Filauni.
Alivotoka yule mwamba kama hatua 3 hivi, si nikamfata yule bamedi nikamkonyeza akaja, nikamwambia:, kumbe wewe inakulipa sana eti? Yani huyu Popoma kakupombekesha muda mchache hivi!?
Unataka kujua tusi aliloniachia huyu Bamedi!?
Alinambia: kama vipi mpelekee ulambe Bingo na wewe.
Dah! Nilitamani nimrukie aise.