Ukisema ibara ina sound kitapeli tapeli bwasheeIbara ya 20(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Ibara hiyo inasema:
"Kila mtu anastahili kuwa huru, bila ya kuathiri sheria za nchi, kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine, kutoa mawazo hadharani..."
Hii ndiyo ibara inayotambuliwa kama msingi wa kikatiba wa uhuru wa kukusanyika na kuandamana kwa amani nchini Tanzania.
"Yaani yasingekuwa mapombe yake dogo angekuwa mbali sanaa"😄😄😄Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .
Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
Watu wanapangwa hadi wanaichukia pombe, nimeanza kunywa pombe tena bia ya safari nikiwa darasa la nne sijaona madhara yoyote kwanguHahaha sio kweli bwashee
Shindwa na ulegee!Pampula , upo ? Karibu bia hapa
Maskini wa akili na fikra wanapenda sana kuwaamulia watu namna ya kuishi badala ya kushughulika na matatizo yao 😅Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .
Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
Pombe ina akili ya pesa , hauwezi kuwa haunywi ukawa fala , pombe imenikutanisha na matajir wakubwaWatu wanapangwa hadi wanaichukia pombe, nimeanza kunywa pombe tena bia ya safari nikiwa darasa la nne sijaona madhara yoyote kwangu
Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .
Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.