Wamatumbi ndio zetu

Wamatumbi ndio zetu

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
57,519
Reaction score
164,575
Kwenye moja na mbili mkoa x nimefungua famasi , inauza jumla na reja reja , inafanya vizuri .

Picha lianza kibaka mmoja yupo hospital x kanichongea kwa mfamasia wa mkoa , mbaya zaidi mfamasia ni familia , kapiga simu moja tu , ana bia zake , za mwaka mzima bar x .

Wamatumbi dawa yao ni moja tu , piga kwenye mshono mamaeee
 
Kwenye moja na mbili mkoa x nimefungua famasi , inauza jumla na reja reja , inafanya vizuri .


Picha lianza kibaka mmoja yupo hospital x kanichongea kwa mfamasia wa mkoa , mbaya zaidi mfamasia ni familia , kapiga simu moja tu , ana bia zake , za mwaka mzima bar x .


Wamatumbi dawa yao ni moja tu , piga kwenye mshono mamaeee
Really niggaz need redemption. Ukichekacheka na Niggaz watakupandia hadi mabegani. Ndio maana Omar Mahita alikuwa katili (strict) niggaz wakamuogopa. Sidhani kuna yoyote awe ndugu ama rafiki anaweza kumsogelea Mahita kumpiga mzinga.

adriz de mbusii
 
Really niggaz need redemption. Ukichekacheka na Niggaz watakupandia hadi mabegani. Ndio maana Omar Mahita alikuwa katili (strict) niggaz wakamuogopa. Sidhani kuna yoyote awe ndugu ama rafiki anaweza kumsogelea Mahita kumpiga mzinga.

adriz de mbusii
Mbaya ,zaidi kwenye ulimwengu wa pesa mimi sichekeshi
 
Penye riziki hapakosi fitna; hii life inataka uwe bandidu sana, vinginevyo watu wanakukwamisha. Hapo ungeletea figusu upo karibu na hospitali, hujakidhi vigezo au unaiba dawa serikalini. 😊
 
IMG_9132.jpeg

Wamatumbi mna wivu wa kijinga sana
 
Back
Top Bottom