Do you believe in love? ❤️

Do you believe in love? ❤️

ShesRise_1

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2025
Posts
16,869
Reaction score
39,939
Do you believe in love? ❤️

Wadau, mnaamini kweli katika upendo wa kimahaba, au siku hizi ni hadithi tu?

Je, kuna mtu unampenda? Anajua hilo? Na unahisi anathamini upendo wako au hauoni kabisa?

Au wewe unapenda kimya kimya kwa kuogopa kuumizwa?

Labda umeamua kuachana na mapenzi kabisa na kuwekeza nguvu zako kwenye kazi, biashara, kilimo au kutafuta maisha.

Au unajidanganya tu kwamba huna unayempenda? 😉😁

Kwa upande mwingine, kuna sehemu unahisi unapendwa kweli? Au unaona ukipendwa na mama yako tu, hiyo inatosha?

NB: Wale wa hela kwanza, mapenzi baadaye msikimbilie kusema hivyo

🤣 Hela tunazitafuta s, lakini mapenzi nayo ni sehemu ya maisha.

ShesRise_1 ❤️💋🤚

Song Meddy Slowly
 

Attachments

  • Meddy - Slowly [Official Video].mp4
    6.7 MB
Do you believe in love? ❤️

Wadau, mnaamini kweli katika upendo wa kimahaba, au siku hizi ni hadithi tu?

Je, kuna mtu unampenda? Anajua hilo? Na unahisi anathamini upendo wako au hauoni kabisa?

Au wewe unapenda kimya kimya kwa kuogopa kuumizwa?

Labda umeamua kuachana na mapenzi kabisa na kuwekeza nguvu zako kwenye kazi, biashara, kilimo au kutafuta maisha.

Au unajidanganya tu kwamba huna unayempenda? 😉😁

Kwa upande mwingine, kuna sehemu unahisi unapendwa kweli? Au unaona ukipendwa na mama yako tu, hiyo inatosha?

NB: Wale wa hela kwanza, mapenzi baadaye msikimbilie kusema hivyo

🤣 Hela tunazitafuta s, lakini mapenzi nayo ni sehemu ya maisha.

ShesRise_1 ❤️💋🤚

Song Meddy Slowly
ndugu mdau,
nakuheshimu sana,

na,
I think,
it's better to believe and trust in God and not otherwise, na itapendeza zaidi :1Head:
 
Kama hukuanza naye utotoni huku juu ni Kuokotana tu.
Screenshot_20260504-162256 (1).jpg
 
ndugu mdau,
nakuheshimu sana,
Asante mdau
Nakuheshimu pia
na,
I think,
it's better to believe and trust in God and not otherwise, na itapendeza zaidi :1Head:
Kuamini katika Mungu hakufanyi nisikupende wewe kama umenivutia (Jokes

Na sio makosa kuamini katika upendo Mungu kaagiza upendo right 🐒
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom