Mdau kutoka PM
Hello Jukwaa la JamiiForums na Jamii Check kwa ujumla. Mimi nina habari inanitatiza ambayo inaenea mitaani, na kila mtu anaamini hivyo,
Kwamba ukila samaki pamoja na maziwa basi unaweza kuaga Dunia, na unapaswa kula kimoja kimoja kwa wakati tofauti
Je, hii habari ina ukweli wowote?