JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Salaam ndugu zangu, Nimekutana na video fupi ikionesha Rais wa TFF Wallace Karia akisema kwamba itakuwa si vizuri kwa Yanga kwenda na ndege ya Rais baada ya kupoteza mchezo. Je, kuna ukweli wowote wa juu ya hili? Tusaidieni kumhoji Picha1: Sehemu ya Tweet inayomlaumu Rais Karia kwa kauli aliyotoa Picha2: Sehemu ya Ujumbe wa Instagram ukimlaumu Rais Karia kwa kauli aliyotoa Picha3: Sehemu ya ujumbe wa Ali Kamwe akikanusha uvumi unaoenea dhidi ya Rais wa TFF Video namba 1 Video namba 2 Video namba 3
Picha moja iliyosambaa mtandaoni – ikiwemo hapa JamiiForums – inamuonesha mwanaume mmoja akiwa katika hali mbaya ya kiafya. Maelezo katika picha hiyo yameandikwa kwa lugha ya Kiarabu yakieleza: “Kutoka tetemeko la ardhi la Februari 6, leo ametolewa chini ya vifusi huko Antakya, Uturuki hai na akiwa vizuri. Utukufu ni wa Mungu.” Picha ya sasa ya Ahmed Al-Sousi (Chanzo: An-Nahar)
Back
Top Bottom