JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Katika siku za hivi karibuni, baada ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, kuzungumzia suala la Katiba Mpya, kumekuwa na usambazaji wa picha zenye maandishi (graphics) kwenye mitandao ya kijamii zikimdai Benson Bagonza amesema: "Nchimbi ni CCM anaongelea akiwa mbele ya sufuria ya nyama, kwamba tupambanie chakula. Jiuzulu tukuamini." Ufuatiliaji wa taarifa hii umebaini kuwa hakuna ushahidi unaoonyesha kuwa Askofu Dkt. Benson Bagonza aliwahi kutoa kauli hiyo katika mahojiano yoyote ya hivi karibuni au kupitia majukwaa yake rasmi. Badala yake, mahojiano yake ya karibu zaidi yalifanyika kupitia Radio Sauti FM, ambapo alijadili kauli ya Makamu wa Rais kuhusu Katiba Mpya. Katika mahojiano hayo, Bagonza...
The International Monetary Fund (IMF) has retracted a previous statement claiming that Special Drawing Rights (SDRs) amounting to $443.9 million had been allocated to Tanzania. The communication, originally said to be dated July 10, was officially withdrawn by the IMF. Officials confirmed there are currently no plans for an alternative announcement regarding this disbursement or any new allocation for Tanzania. This development comes amid global scrutiny over financial disbursements to developing nations, as the IMF aims to maintain transparency and accountability in its fiscal operations. Source: Devdiscourse For Swahili viewers. IMF yaondoa taarifa kuhusu mkopo wa dola milioni 443.9 kwa Tanzania. Shirika la Fedha la Kimataifa...
Kumekuwepo na graphic inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidai kuwa Rais wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, alisema:"Usitegemee katiba mpya sasa hivi. Watanzania tunatakiwa tujikite katika kujenga nchi yetu." Katika ufuatiliaji uliofanywa kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya mtandaoni, ikiwemo hotuba, mahojiano na taarifa rasmi zinazopatikana hadharani, hakuna ushahidi unaothibitisha kuwa Jakaya Kikwete aliwahi kutoa kauli hiyo. Sambamba na hilo graphic hiyo potoshi imeambatana na ujumbe ufuato kikwete ukiona mtu anazungumzia katiba mpya chunguza akili zake haziko sawa Tanzania nchi ya amani Aidha, hakuna taarifa rasmi, rekodi za vyombo vya habari, wala hotuba zinazomnukuu Kikwete akisema maneno...
Wakuu Nimekuwa nikikutana na madai kwamba maji ya mvua huwa yanaharibika baada ya kuchotwa. Naomba kufahamu ni kwa nini maji ya mvua huwa yanaharibika baada ya siku kadhaa baada ya kukingwa,na pia huku mitaani kwetu tunayawekea chumvi kidogo kwa iman kuwa hayata haribika,je ni kweli chumvi husaidia maji ya mvua yasiharibike au tunajidanganya tu?🤣
Baada ya Afrika, bara la Amerika Kusini ndilo lenye watu weusi wengi zaidi wakikadiriwa kuwa zaidi ya milioni 170 huku Brazil ikiongoza ikiwa na watu weusi takriban milioni 120. Nchi ya Argentina inatajwa kuwa mpaka sasa watu weusi ni chini ya laki mbili wakiwa takriban asilimia 0.5% kutoka asilimia 48% miaka ya 1800. Inadaiwa watu weusi baada ya kuisaidia Argentina kupigana vita na maadui zake, watu weusi waliosalia waliwekwa kwenye maeneo maalumu ambayo kwa kipindi hicho kulikuwa na ugonjwa wa hatari unaosababishwa na bacteria “Plague” ambapo serikali iliwanyimwa huduma muhimu hivyo upelekea vifo vyao. Zitto kupitia ukurasa wake wa Twiiter aliwahi kumhoji jamaa kuhusu kuishabikia Argentina, nanukuu 'Una support argentina ambayo...
False video Tunachokijua(what we know): Uganda’s Local Government Minister Balaam Barugahara and State Minister Justine Nameere Nsubuga found themselves literally bogged down in the very problem they set out to inspect. On July 20, 2026, their convoy became stranded on the slippery slopes of Wanale Hill in Mbale while examining a road alleged to have been poorly constructed. What was meant to be a routine accountability exercise quickly turned into a muddy ordeal, with officials forced to proceed on foot amid heavy rain. Claim: “A screenshot and video circulating on social media show the State Minister for Local Government, Hon. Justine Nameere, slipping and falling on a muddy road during an inspection in Mbale District.”...
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la usambazaji wa nukuu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii zinazodaiwa kutolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Mojawapo ya nukuu hizo, iliyochapishwa kwenye mtandao wa Facebook, inamdai Rais Samia amesema: "Natamani muda wangu uishe." Hata hivyo, uchunguzi uliofanywa kupitia vyanzo mbalimbali vya mtandaoni umebaini kuwa hakuna ushahidi wowote unaoonyesha kuwa Rais Samia aliwahi kutoa kauli hiyo, iwe katika hotuba, mahojiano, taarifa rasmi au kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii. Aidha, ukaguzi wa hotuba na taarifa rasmi zinazochapishwa kupitia kurasa za mawasiliano za Ikulu ya Tanzania haukubaini sehemu yoyote ambayo Rais Samia amesema...
Tunachokijua(What we Know). A serious road accident occurred on Thursday evening, July 16, 2026, involving children from King David Junior School in Ndejje, Uganda involving a school bus which crashed at around 8:00PM in Kapchorwa District claiming 24 lives mainly pupils and leaving many injured. Claim: A viral screenshot originating from X(formally twitter) and video of a grieving man are circulating online, with captions alleging that he lost four children in a tragic school bus accident. Some posts further claim that he himself also died shortly after the incident. Findings: JamiiCheck, through the use of Google Lens and verification tools, found out that the viral screenshot and video of a grieving man have been...
Back
Top Bottom