JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Kumekuwepo na taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, zikidai kuwa Jeshi la Iran kupitia Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limemnyonga Jenerali Esmail Qaani, ambaye ni kiongozi wa Kikosi cha Quds. Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyochapishwa na ukurasa wa Smart tv habari sambamba na Wadada Na Mastory's ya viongozi ndani ya Iran walianza kumtilia shaka Jenerali Qaani baada ya kuokoka mashambulizi kadhaa yaliyodaiwa kufanywa na Marekani na Israel, ilhali baadhi ya makamanda waliokuwa karibu naye walifariki katika mashambulizi hayo. Ripoti hizo zinaeleza kuwa tuhuma zilianza kuibuka zikidai kwamba huenda Jenerali Qaani alikuwa akishirikiana kwa siri na shirika la ujasusi la Israel, Mossad. Madai hayo...
Back
Top Bottom