JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Kumekuwepo na chapisho ambalo limechapishwa na chombo cha habari cha Azam tv tanzania kikiwa nukuu ya kuwa uking’atwa na nyoka huruhusiwi kufunga kamba juu ya kidonda, kuchanja wala kunyonya sumu kwa mdomo. Unachopaswa kufanya ni kutulia kwanza ili kupunguza msukumo wa damu. Dai hilo limetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Elimu na Uhamasishaji Uhifadhi wa Nyoka Tanzania (TASCEA), Aldo Charles, wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Morning trumpet Je ni upi uhalisia wa dai hilo?
A viral post has been circulating on social media, especially on Facebook, claiming that astronauts have successfully grown rice on the Moon. However, an investigation using keyword searches determined that the image was generated using artificial intelligence (AI) and is therefore not genuine. This claim comes at a time when the world is witnessing Four astronauts have begun their return journey to Earth on the Artemis II spacecraft after successfully reaching the Moon and witnessing unique events. It has been a historic day for the Artemis II astronauts, who are now returning to Earth after completing their journey to the moon. In addition, information from NASA Science indicates that the Moon’s environment is not suitable for...
Kumekuwepo na chapisho lililosambazwa kwenye mtandao wa Facebook, kupitia ukurasa wa Nalinga Media, na baadhi ya tovuti za kimatifa likidai kuwa mamlaka za Iran zimegundua fuvu la kichwa cha askari wa Jeshi la Marekani katika eneo la Isfahan, katikati mwa Iran. Chapisho hilo linaeleza kuwa fuvu hilo lilipatikana miongoni mwa mabaki ya ndege ya kijeshi ya Marekani iliyodaiwa kudunguliwa wakati wa mapigano ya hivi karibuni kati ya Marekani na Iran.
Back
Top Bottom