JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Tunachokijua A post circulating on TikTok from an account operating under the handle “MED BARBER” claims that opposition leader Kizza Besigye has died. Click here to see post. The post contains a screenshot showing Besigye being placed into an ambulance after he collapsed during a court proceeding, alongside several pictures of him with the words: “RIP We shall remember you as our best freedom fighter.” There has been no official communication from his family, legal team, prison authorities, or any recognised institution confirming his death. CLAIM A TikTok post by an account under the handle “MED BARBER” claims that Dr. Kizza Besigye has passed away. The post uses images of Besigye, including a screenshot showing him being taken...
Mnamo mwaka 1912, mvumbuzi na fundi nguo Franz Reichelt alipoteza maisha baada ya kuruka kutoka Mnara wa Eiffel nchini Ufaransa akijaribu kuvumbua vazi la parachuti aliloamini lingeweza kumnusuru mtu anayeanguka kutoka juu. Jaribio hilo lilifanyika mbele ya mashuhuda na kurekodiwa kwa kamera, lakini kifaa hicho hakikufunguka kama alivyotarajia na kusababisha kifo chake papo hapo. Zaidi ya karne moja baadaye, tukio hilo linaendelea kuzua mijadala kuhusu mipaka ya ubunifu, ujasiri na hatari katika sayansi na teknolojia. Wapo wanaomwona Reichelt kama mtu aliyekuwa mbele ya wakati wake na aliyetoa mchango kwa maendeleo ya usalama wa anga, huku wengine wakiamini alichukua hatari kubwa isiyo ya lazima. Wewe una maoni gani—je, alikuwa shujaa...
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na machapisho mbalimbali yanayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii yakiwa na jumbe zinazodaiwa kutolewa na baadhi ya viongozi, hususan wa nchi za Afrika Mashariki na Afrika ya Kati. Mojawapo ya machapisho hayo linadai kuwa aliyekuwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, alisema:"If you want to stop youths from alcohol or playing Aviator, just tell them that it's owned by William Ruto." Chapisho lingine linadai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alisema: "Mimi naomba Rais ndugu yangu William Ruto anipe mamlaka niongoze Kenya kwa wiki mbili tu, nimalize huo mchakato wa hao viumbe wa ajabu wanaojiita Gen Z. Ninyooshe nchi ya Kenya." moja ya machapisho yamechapishwa hapa Je...
Kumekuwepo na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidaiwa kuwa inaonesha baadhi ya wanachama wa CHADEMA wakiandamana kupinga uwepo wa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche. Video hiyo imeambatana na ujumbe unaosema:"CHADEMA wamefanya maandamano makubwa wakitaka Makamu Mwenyekiti wao, John Heche, ajiuzulu kutokana na tuhuma za wizi wa fedha za chama." Je ni upi uhalisia wa video hiyo?
Tunachokijua Claim A Social media post claims that former Parliament Director of Communications and Public Affairs Chris Obore threatened to commit suicide from Luzira Prison after the Inspector General of Government (IGG) ordered his interdiction. The post further alleges that Obore said the disputed Corporate Social Responsibility (CSR) funds belonged to former Speaker Anita Annet Among and that he was being selectively prosecuted while she remained free. What We Know The claim is false and is not supported by credible evidence. Jamiicheck Found the following; It is true that: • Chris Obore and several other senior Parliament officials are facing charges of embezzlement, causing financial loss and money laundering over the alleged...
kumekuwepo na chapisho ambalo linasamambazwa na moja ya ukurasa wa facebook likidai kuwa Inawezekana unatafuta dhahabu machimboni au madukani, lakini ukweli ni kwamba tayari unatembea ukiwa na dhahabu mwilini mwako! Katika chapisho hilo wamedai kuwa Wanasayansi wamethibitisha kuwa ndani ya mwili wa binadamu kuna wastani wa miligramu 0.2 za dhahabu safi. Madini haya ya thamani yanapatikana ndani ya damu yetu yakifanya kazi zake za kibaolojia. Sambamaba na hilo kumekuwepo na madai kuwa Hii ni dhihirisho tosha kuwa kila mmoja wetu ameumbwa akiwa na thamani kubwa tangu awali. Hivyo basi, thamani yako haitokani na kile unachomiliki kwa nje, bali kile kilichopo ndani yako!
Back
Top Bottom