JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Kwa siku za hivi karibuni kumwepo na jalada la kipande cha gazeti la mwananchi ambacho kinasomeka kuwa watazania wanaongoza kwa ujinga afrika Ufuatiliji unaonesha kuwa Kichwa hicho cha Habari ni potofu hakina ukweli wowote na kinalenga kupotosha umma dhidi ya watanzania Pia ufutailiaji zaidi umebainisha kuwa chombo cha Habari cha mwananchi kilichapisha chapisho rasmi kwenye mtandao wake wa Instagram siu ya tarehe 13 August 2024 kikiwa na Kichwa kinachosema Polisi ,chadema shughuli ngumu. Katika ufuatilaji huo ulibanika kuwa Kichwa kikuu pekee ndicho kilibadilishwa; vichwa vidogo na picha zote ni sawa katika majalada yote mawili. Katika hatua nyingine mnamo mwaka 2024 chombo cha Habari cha Mwananchi kilichapisha nukuu katika...
Jamii Forums naomba mfanye Check ya hii video kubaini ni ya zamani au ya hivi karibuni. Binafsi niliona hii video kwenye post za wazungu kusoma comments nikaona wanasema video ni ya Zamani sana. Lakini cha kushangaza video hii inaendelea kutrend na kuaminika ni ya jeshi la wauza madawa wakitishia serikali baada ya El Mencho kuuwawa. Mmoja wapo aliyepost ni Farhan ambaye ni muandishi wa Clouds akihisi ni video ya hivi karibuni Naomba tupate ukweli
kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mitandao ya kijamii likimunukuu John mnyika kutoa kauli inayosema kuwa tusipo muangukia mbowe wanachadema hatutoboi Baada ya kufanya ufuatiliaji wa kina kwa kutumia njia ya utafutaji wa maneno tumebaini kuwa taarifa hiyo nipotoshi na ina nia ya kupotosha umma ufuatiliaji unabaibnisha kuwa kauli hiyo haijatolewa na john mnyika kwani kwa siku za hivi karibuni hajazungumza na vyombo vya habari kando na hilo ukurasa rasmi wa chnazo tv siku ya tarehe 20 haujachapisha habari hiyo sehemuyoyote ikiwa ni facebook , instagram na x zamani twiiter sambamba na hilo ufuatiliaji umeonesha kuwa kupitia mitandao ya kijamii wa john mnyika haujachapisha maudhui yanayomuhusu aliyekuwa mwenyekiti wa...
Back
Top Bottom