JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Mzee amenena maneno ya makufuru dhidi ya mpigania haki Lisu ambaye wmezuiliwa gerezani bila kosa lolote. Leo mzee Wasira ameropoka na kusema wanamzuia kwakuwa hataki maridhiano. Soma mwenyewe hapa chini. "Tunapozungumzia maridhiani tunamaanisha Makubaliano ya kitaifa, kiutendaji na amani ya kudumu, sasa wewe ukikataa inaonyesha siyo mtu mzuri kwetu na kwenye taifa ni hatari. Kwaiyo hupaswi kuwa huru, utakaa chini ya uangalizi milele"- Amesema Wasira
Kumekuwepo na chapisho la video kwenye mtandao wa Facebook likidai kuwa Rais wa Iran Masoud Pezeshkian akiwa pamoja na watendaji mbalimbali wa serikali wakiwemo mawaziri, walionekana wakiendesha baiskeli katika mji wa Isfahan wakielekea kukagua miundombinu kwenye maeneo ambayo yalikabiliwa nma mashambulizi makali ya vita. katika hilo Chapisho hilo lilisambaa likiwa na ujumbe unaosema: "Rais wa Iran 🇮🇷 akiwa na watendaji mbalimbali wa Serikali, wakiwemo mawaziri, wakielekea kwenye ukaguzi wa miundombinu ndani ya mji wa Isfahan kwa kutumia usafiri wa baiskeli. Ikumbukwe mji huo ni miongoni mwa miji iliyoshambuliwa sana." Hata hivyo, kupitia ufuatiliaji wa kidigitali kwa kutumia njia ya manneo mhimu na vyanzo vingine vya habari...
kumekuwepo na chapisho ambalo limechapishwa na baadhi ya watumiaji wa mitandao ya facebookk wakiwa na ujumbe unao nukuu kuwa bunge la iran limetangaza kuongeza mishahara baada ya vita katika chapisho hilo ambalo lina nukuu inayosomeka "Baada ya Bunge kuidhinisha sheria mpya ya Malipo kada ya afya nchini Iran Serikali imetangaza Mishahara mipya kwa Wahudumu sekta ya afya kuanzia Madaktari, Manesi na wengine wote kada hiyo watapata ongezeko la mshahara kuanzia mwezi huu wa April sambamba na posho huku wale Waajiriwa wapya zaidi ya 500,000 pia wata faidika na ongezeko hili" je nu upi uhalisia wa chapisho hili?
Mdau katika jukwaa la Kilimo, Ufugaji na Uvuvi amehoji kama ni kweli chokaa inachangia ubora na ufanisi wa mbolea katika kilimo cha ndizi? "Nilikiwa kwenye Mkoa wa Kagera ambapo kuna mwenendo unaoongezeka wa wakulima wa ndizi kutumia chokaa katika mashamba yao. Wakulima hao wanadai kuwa matumizi ya chokaa husaidia migomba kustawi vizuri na kupunguza au kuzuia mashambulizi ya baadhi ya wadudu wanaosababisha kudhoofika au kuharibika kwa migomba." Ameeleza.
The viral post has been circulating on Facebook claiming that Kim is hoping to join the United States in the ongoing war. The post includes a quoation marked as "The nightmare scenario reportedly confirmed. Kim Jong Un allegedly announced North Korea officially joins the war alongside Iran against the United States. Two nuclear powers. Against America. The conflict just went global according to claims. " According to reports, Kim made official declaration. Not just support. Not just technology sharing. Full entry into war alongside Tehran. Pyongyang allegedly committing military forces against America. Days ago reports claimed Kim distancing from Iran. Now allegedly full war declaration. The situation shifting constantly. Intelligence...
Back
Top Bottom