JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Based on the ongoing situation in South Africa, there have been social media posts claiming that Mozambique has blocked more than 5,000 vehicles that were heading to South Africa. The posts further allege that this action is a response to what is being done by some South African citizens, who are reportedly driving out foreign nationals living in the country without legal residence permits.
Serikali ya Cambodia imetoa tangazo linalowaagiza raia wote wa Afrika, wakiwemo kutoka Kenya, Ghana, Cameroon na Uganda kuondoka nchini humo kabla ya Mei 31, 2026, la sivyo watakamatwa na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria za uhamiaji. Katika taarifa rasmi iliyotolewa na Idara Kuu ya Uhamiaji, mamlaka zilisema kuwa msamaha uliokuwa umetolewa awali kwa Waafrika utaisha rasmi mwishoni mwa Mei. Taarifa hiyo imeeleza kuwa wageni wote walioathirika ambao wamemaliza kulipa faini zao za uhamiaji wanapaswa kuondoka Cambodia kabla au ifikapo Mei 31, 2026. “ Juni 1, 2026, raia yeyote wa kigeni atakayekutwa akiwa nchini Cambodia atakamatwa iwe uwanja wa ndege au eneo lolote,” ilisema sehemu ya taarifa hiyo. Kwa mujibu wa agizo hilo...
Kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mtandao wa Instagram likidai kuwaonyesha baadhi ya raia wa Kenya wakiwapokea wageni wanaodhaniwa kuwa na ugonjwa wa Ebola. Katika chapisho hilo imeomekana kuwa na jumbe ufuatao” Marekani itaipatia Kenya USD milioni 13.5 [TZS bilioni 35.5] kwa ajili ya kujenga karantini ya kuwaweka raia wa Marekani wanaoshukiwa kuwa na maambuzi ya virusi vya Ebola. Marekani imesema kipaumbele chao ni kulinda afya na usalama wa raia wake, kwa kuhakikisha ugonjwa huo hauingii nchini humo. Je ?ni upi uhalisia wa chapisho hilo linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa ?
Tanzania has banned the use of the U.S. dollar and other foreign currencies for local transactions as the government moves to strengthen and protect the Tanzanian shilling. Under the new directive, businesses and individuals will be required to conduct domestic transactions using the local currency, marking a significant shift in the country’s monetary and financial policy. Tanzania has officially banned the use of the US dollar and all foreign currencies for domestic transactions. The Tanzanian shilling is now the ONLY legal tender on Tanzanian soil. This is not just monetary policy. This is a declaration of ECONOMIC SOVEREIGNTY. Africa, are you watching? De-dollarization is no longer just a BRICS conversation. It just became an...
A viral image circulating on social media, widely shared by pro-Iran influencer accounts, falsely claims to show Iran publicly hanging “hundreds of Israeli and American soldiers.” However, there is no credible evidence, official report, or verified media coverage confirming such an event ever occurred. Investigations into the image strongly indicate that it is digitally manipulated or generated using artificial intelligence (AI). Several visual inconsistencies visible in the image point to fabrication, including distorted body structures, repeated facial patterns, unrealistic crowd formations, and physically impossible hanging structures. Additionally, no reputable international media outlet, human rights organization, or government...
Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa na baadhi ya watumiaji wa mtandao wa Facebook likidai kuwa aliyekuwa Rais wa 44 wa Marekani, Barack Obama, amekamatwa baada ya Rais wa sasa wa Marekani, Donald Trump, kutoa amri hiyo kufuatia kile kinachoendelea Mashariki ya Kati. Katika chapisho hilo linalosambaa, maneno yafuatayo yameonekana kuandikwa:“Kwa mujibu wa taarifa za ndani kutoka Ikulu ya Marekani, wakati Trump anaandika ujumbe huo tayari Obama alikuwa ameshakamatwa. Inaelezwa kuwa baada ya Donald Trump kufanya ziara nchini China, alirejea Marekani akiwa tofauti kabisa. Msemaji mkuu wa Trump amesema kuwa rais huyo alikwenda China kujua msimamo wa taifa hilo kuhusu usalama wa dunia na mustakabali wa amani duniani. Uhalisia Hata...
Wakuu NImekutana na huu ujumbe unaodaiwa kuchapishwa na Halima Mdee kupitia ukurasa wake wa X ingawa sijaiona je uhalisia ni upi? "tulifanya makosa wengine kwa kujua wengine kwa bahati mbaya, wengine waliondoka kwa sababu ya mifumo iliyo kuwa inalalamikiwa.,,msituhukumu kwa mapito yetu Bali fungueni Milano karibiaheni wakosaji Wanao jutia na kuomba msamaha, haturudi kutafuta vyeo Bali kuongeza Nguvu ya kumuondoa mkoloni mweusi ili tuapte katiba mpya #Free tundu Lissu Je mtatuhukumu Hadi lini? Kama Kuna adhabu ttupe ili tuitumikie lakini turudi kwenye njia ya Mapambano"
Kumekuwepo na chapisho linasambazwa mitandaoni huku likiambatana na picha ambayo inamuonesha paul makonda likinukuu kuwa vyama vya siasa vitabaki kama vilivyo, hakuna chama kitakachofutwa. Lakini ni vyema kutambua kuwa chama kinachoongoza nchi ndicho kinachoamua kupanga utaratibu wa mifumo yote ya taifa ili kutimiza ahadi zake kwa wananchi. katika chapisho hilo limedai kuwa mpango wa serikali ya chama tawala ni kwamba kila mtu anatakiwa kuwa na kadi ya CCM ifikapo mwaka 2030, ili aweze kupata huduma za msingi za serikali. Bila kadi hiyo, mtu hawezi kupata leseni, cheti, barua ya mwenyekiti, hata pasipoti. vilevile katika chapisho ambalo linasamabzwa na watumiaji wa facebook lina jumbe ufuato "Hakuna chama cha siasa, kitakacho futwa...
Back
Top Bottom