Kumekuwepo na chapisho la video kwenye mtandao wa Facebook likidai kuwa Rais wa Iran Masoud Pezeshkian akiwa pamoja na watendaji mbalimbali wa serikali wakiwemo mawaziri, walionekana wakiendesha baiskeli katika mji wa Isfahan wakielekea kukagua miundombinu kwenye maeneo ambayo yalikabiliwa nma mashambulizi makali ya vita.
katika hilo Chapisho hilo lilisambaa likiwa na ujumbe unaosema:
"Rais wa Iran 🇮🇷 akiwa na watendaji mbalimbali wa Serikali, wakiwemo mawaziri, wakielekea kwenye ukaguzi wa miundombinu ndani ya mji wa Isfahan kwa kutumia usafiri wa baiskeli. Ikumbukwe mji huo ni miongoni mwa miji iliyoshambuliwa sana."
Hata hivyo, kupitia ufuatiliaji wa kidigitali kwa kutumia njia ya manneo mhimu na vyanzo vingine vya habari...