JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Taarifa kutoka ukurasa wa Instagram wa Habari 24 zimechapisha habari yenye ujumbe kwamba John Mrema, ambaye ni kada wa chama cha CHAUMA, ameomba kurejea CHADEMA. Katika chapisho hilo, ujumbe ufuatao umeonekana: “Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa zinaeleza kuwa aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje pamoja na Mkurugenzi wa Uenezi wa CHADEMA, na baadaye kuhamia CHAUMA, John Mrema, anapanga kurejea CHADEMA.” je uhalisia wa dai hilo upo vipi?
Kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, likidai kuwa Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan, ametoa kauli kali kuhusu Iran. Chapishi hilo limechapishwa katika ukurasa wa Athumani Seiph Amri ambapo Erdoğan anadaiwa kusema kuwa Uturuki haitaruhusu Iran kugawanywa, na kwamba itachukua hatua za kijeshi kama ilivyofanya nchini Syria endapo kutakuwa na jaribio lolote la kuivuruga au kuigawa Iran, ikiwemo kupitia makundi ya Wakurdi au njia nyingine. Chapisho hilo linaeleza zaidi kuwa Erdoğan alitoa onyo kwa Marekani na Israel, akisisitiza kuwa yeyote atakayejaribu kugawa Iran au kuingilia uhuru wake atakabiliwa na majibu makali kutoka kwa Uturuki.
Kumeibuka chapisho la tangazo linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, likiwa na kipande cha video kinachomuonesha Abubakari Bakhresa akidai kuwa kampuni yake ya Azam inatoa fedha kwa Watanzania kuanzia TSh 4,000,000 hadi 6,500,000, huku usajili ukidaiwa kufanyika ndani ya siku tisa. Katika chapisho hilo, pia kuna kiungo kinachoonekana kuhusiana na tovuti ya The Citizen, kikiwa na ujumbe unaosema: “Serikali mpya, fursa mpya: Maelfu ya Watanzania tayari wanatumia fursa hii kupata zaidi ya TSh 4,000,000 ndani ya siku 30.” Je ni upi ukweli wa Tangazo hilo?
Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mtandao wa Facebook likiwa na nukuu inayodaiwa kumhusu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa John Heche Katika chapisho hilo, Heche anadaiwa kusema kuwa wako katika hatua nzuri ya mazungumzo na serikali. Aidha, chapisho hilo limesambazwa kupitia vikundi mbalimbali vya Facebook, likidaiwa kuwa limetolewa na ukurasa wa Jambo TV. Ujumbe uliobebwa katika chapisho hilo unasema: “Tupo kwenye hatua nzuri ya mazungumzo na Serikali kuelekea maridhiano ya kitaifa yenye lengo la kuimarisha mshikamano, kulinda maslahi ya taifa, na kuharakisha maendeleo kwa Watanzania wote.” — John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA.
Kauli huumba..Matamshi kama haya toka kwa AMIRI JESHI MKUU yanawaoa polisi, TISS, JWTZ ( kwa kiasi kidogo) kuua, kuteka, kuumiza, kupoteza watu. Ukishasema hutawavumilia watu, interpretation ya polisi in particular and TISS umewachochea kufanya " uhalifu". Kauli ya upatanishi ndipo ilikuwa mahali pake na si kuwachochea. Ingelikuwa mimi ningeliwaita wateule wangu na kuwaonya na matamshi ambayo siyo rafiki kwa wananchi. Lukuvi Alikuwa na matamshi ya KIBURI CHA MADARAKA Moderators nisaidie maandishi ya kwenye picha yaonekani.
There have been posts circulating on Facebook, particularly from the page Headline 360, claiming that: “Italian Prime Minister Giorgia Meloni has called on China to leverage its significant influence to halt the escalating military actions by Israel and the U.S. against Iran. Italy warns that without Beijing's intervention, the conflict risks a total collapse of international law.” However, upon digital investigation , it has been found that this statement misrepresents what Prime Minister Giorgia Meloni actually said.According to post published by Reuters, melon issued are statments regarding her strongest criticism yet of the U.S.–Israeli war on Iran, describing it as part of a growing and dangerous trend of interventions “outside...
Back
Top Bottom