JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Kumekuwapo na madai mengi kuhusu radi ambayo mengine si ya kweli, yafuatayo ni madai 10 pamoja na uhalisia wake. Dhana Potofu 1: Radi haipigi sehemu ileile mara mbili. Uhalisia: Radi inaweza kupiga sehemu ileile mara nyingi, hasa ikiwa ni eneo lenye kitu kirefu, chenye ncha kali na kilichojitenga. Kwa mfano, jengo la Empire State Building hupigwa na radi takribani mara 25 kwa mwaka, na wakati mwingine zaidi ya mara 10 ndani ya dhoruba moja. Dhana Potofu 2: Radi hupiga vitu virefu pekee. Uhalisia: Radi inaweza kupiga popote. Inaweza kupiga ardhi, gari, maegesho ya magari au sehemu nyingine, si lazima kitu kiwe kirefu zaidi. Dhana Potofu 3: Ukiwa nje wakati wa radi, ni salama kujikinga chini ya mti. Uhalia: Hii ni mojawapo ya sehemu...
Nimekutana na hii video Insta wanasema, "wanachadema haujawapatia majibu ya million 900 zilipoenda kwa ujasiri Unakuja mbele za watu eti unaomba mil 30 kwaajili yako zikupe motisha, motisha gani akati umeshawaibia wanachadema mil 900 na hutaki kusema zilipo Kwa tunavokufahamu wewe ingekua sio kweli lazima ungesema kuwa sio kweli ila badala yake unafukuza wote wanaohoji ili uwanyamazishe, wewe na mnyika wote ni wezi wakubwa"
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na machapisho mbalimbali yanayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mojawapo ya machapisho hayo yanadai kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Godbless Lema, amesema kuwa kwa sasa anaonekana kama msaliti ndani ya chama. Chapisho hilo, lililosambazwa kupitia Facebook, limenukuu kauli inayosema:"Asante Lema, usikubali kuchafuka kizembe wakati ukweli wa jambo unao wewe mwenyewe! Sema ukweli wote wa ufisadi wa Makamu Mwenyekiti Heche bila kuogopa, umma uko pamoja na wewe." je, ni upi uhalisia wa chapisho hilo ambalo limeonekana kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii huku klikiwa na graphic ya chombo cha habari cha Jambo Tv ?
Tunachokijua A manipulated image purporting to show the front page of the June 16, 2026 edition of New Vision has been circulating on Whatsapp. The altered version replaces one of the newspaper's top headlines with the words "Lukwago Playing Hide and Seek, What We Know So Far." The rest of the front page closely resembles the genuine edition, making it appear authentic at first glance. In response, New Vision issued a public statement on its official X account warning readers that the image is counterfeit. The newspaper clarified that the genuine front page carried the headline "Lukwago Arrested: What We Know So Far" and not "Lukwago Playing Hide and Seek." In its statement, New Vision said: Click here to see the post. A comparison...
Tunachokijua(What we know) MTN Uganda is the country’s largest telecommunications network, a major taxpayer, and is listed on the Uganda Securities Exchange. Gen Muhoozi Kaiberugaba Is Ugandas Chief of Defense Forces(CDF)and a Presidential Advisor on Special Operations. Claim: A viral post attributes a statement to Gen. Muhoozi Kainerugaba, alleging that MTN Uganda will be blocked within two weeks and replaced by Uganda Telecom. Findings: Jamii Check found out that there was Misquotation of Gen. Muhoozi: The viral post falsely attributes words to Gen. Muhoozi. There is no record of him making such a statement in any official speech, press release, or verified communication. No official confirmation: Neither State House, the...
Nimekutana na huu ujumbe Facebook je, kinachozungumzwa ni cha kweli? Kucheka si tu ishara ya furaha — ni tiba ya mwili na akili pia! Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa kucheka husaidia kupunguza msongo wa mawazo (stress), huimarisha kinga ya mwili, na hata kuboresha afya ya moyo. Wanasayansi wanasema kwamba dakika chache tu za kucheka kwa dhati huongeza utoaji wa endorphins — kemikali za furaha mwilini — na pia hupunguza maumivu ya mwili.
Tunachokijua (What we Know) During the FIFA World Cup 2026, Argentina faced Egypt in the Round of 32 at Levi’s Stadium in Santa Clara, California. The match ended in a dramatic 3–2 victory for Argentina, with Enzo Fernández scoring a decisive stoppage time header that not only secured Argentina’s progression but also marked the 3,000th goal in World Cup history. Claim: Social media posts, particularly on X (formerly Twitter), circulated an image allegedly showing Argentina players Enzo Fernández and Julián Álvarez kissing on the pitch after the match. The claim presents the image as authentic photography from the World Cup celebrations. Findings: JamiiCheck found out that the circulated image contains clear signs of...
Tunachokijua Claim: A Facebook post from the page Afande Denimaka Music is circulating online via Tiktok and it alleges that General Muhoozi Kainerugaba of Uganda called on Africans to “teach South Africa a lesson.” The post includes provocative images and directs users to subscribe to a YouTube channel to watch a supposed speech. Findings: JamiiCheck found out that the channel @denimakaofficial674 exists and has over 2,000 subscribers with about 10 videos. However, the videos content in the channel are primarily Ugandan gospel and music performances (e.g., Tusinze, Dotcom, Mwanyumye). There is no speech evidence of Gen. Muhoozi making the alleged statement in the channel. No credible evidence: Searches of official Ugandan...
Tunachokijua Claim. A viral image circulating on social media by Numan Khan on Instagram claims to show FIFA President Gianni Infantino wearing an Argentina national team jersey while dining with FIFA referees, as Donald Trump watches from the background beneath a FIFA World Cup 2026 banner. It is shared with the caption: "Gian Big Bucks." The post implies that FIFA officials are secretly favoring Argentina during the 2026 FIFA World Cup. What We Know •The image is AI-generated/digitally manipulated and does not depict a real event. •There is no credible evidence that such a dinner ever took place. •When Jamiicheck analysed the image with AI detection tools, including Hive Moderation, we found a 99.9% probability that the image was...
Back
Top Bottom