JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

An image circulating on social media appears to show Kenya Defence Forces (KDF) recruits lying on the ground and forming the word “TUTAM”, a slogan associated with President William Ruto and his supporters. The image has been shared as though it captures a real formation by KDF recruits, raising questions about whether members of Kenya’s military participated in a display carrying a political message. But is the image real?
Katika jamii za kiafrika hasa Tanzania kumekuwa na nadharia kuwa mtu aking'oa mvi moja kichwani inasababisha kuota nyingine nyingi. Baadhi ya watu wakiwa katika umri ambao si wakuota mvi au wale ambao wanaanza kuota mvi, mvi zikianza kuchipua kichwani wanazing'oa wakiamini hazitaota tena lakini baadhi ya watu wanawaonya kuwa wasizing'oe kwasababu zitaota nyingine nyingi. Je, ni upi ukweli kuhusu nadharia hiyo?
Tunachokijua A document circulating on social media and WhatsApp groups purports to be an “Instrument of Appointment of RDCs” issued by the Republic of Uganda. The document carries the Ugandan Coat of Arms and lists names of individuals alongside positions and districts, creating the impression that President Yoweri Kaguta Museveni has appointed or reshuffled Resident District Commissioners (RDCs). CLAIM A document circulating online claims to be an official “Instrument of Appointment of RDCs”, listing individuals purportedly appointed as Resident District Commissioners in different districts across Uganda. The document cites Articles 99 and 203 of the 1995 Constitution and bears the heading “The Republic of Uganda”, making it appear...
Tunachokijua A picture circulating on X appears to show President Yoweri Kaguta Museveni seated alone on a raised platform, surrounded by red furniture and a red carpet, looking lonely and sad. The image was posted by an X account operating under the handle @sserumagaelly, with the caption: “Power is lonely… and the chairs are red.” CLAIM A post on X by @sserumagaelly shares a picture appearing to show President Museveni sitting alone on a raised platform in what appears to be a formal setting. The caption, “Power is lonely… and the chairs are red,” suggests that the image captures the President in a moment of isolation and loneliness. An analysis using AI-detection software found a 96% probability that the image was generated...
Tunachokijua A video circulating on X appears to show a Ugandan Police officer directly spraying a chemical substance into the face of a civilian wearing a National Unity Platform (NUP) shirt, causing the man and several other people to collapse. The video was posted by an X account operating under the handle @BuwemboHabib, with the caption: “Police harassment in Uganda must come to an end. Every Ugandan deserves dignity, safety, justice, and the freedom to express themselves without intimidation.” CLAIM A video posted on X by @BuwemboHabib claims to show a Ugandan Police officer spraying a chemical substance directly into the face of a civilian wearing an NUP shirt, causing him and several other people to collapse. The post uses...
Viral posts and images circulating on social media claim that the United Nations (UN), UN election observers and observers from the Southern African Development Community (SADC) have confirmed that an opposition presidential candidate won Zambia's general election held on 13 August 2026. The claim that the United Nations confirmed the victory of an opposition presidential candidate in Zambia is false. The UN in Zambia has warned about false and misleading information circulating on social media claiming that UN observers congratulated a presidential candidate following the 13 August 2026 elections. The UN clarified that it does not have an electoral observation mandate in Zambia and did not deploy election observers for the 13 August...
Kumekuwa na video inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Instagram, ikiambatanishwa na madai kwamba leo nchini Zambia, siku ya uchaguzi mkuu, polisi wametumia risasi za moto na mabomu ya machozi kuwatawanya wapiga kura katika vituo kadhaa vya kupigia kura kwa tuhuma za uvunjifu wa amani. Hata hivyo, ufuatiliaji wa video hiyo umebaini kuwa matukio yanayoonekana katika video hayakutokea wakati wa uchaguzi mkuu wa sasa nchini Zambia. Badala yake, video hiyo inaonesha tukio lililotokea kabla ya uchaguzi na sasa limehusishwa kimakosa na matukio ya uchaguzi wa sasa. Uchunguzi zaidi kupitia vyombo rasmi vya habari nchini Zambia umebaini kuwa chombo cha habari cha Mwebantu kilichapisha video hiyo mwezi Agosti ikiwa na maelezo...
Kumekuwa na chapisho linalosambazwa katika mitandao ya kijamii, hususan Facebook na Instagram, likiwa na nukuu inayodaiwa kutolewa na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni. Nukuu hiyo inasema kuwa “Nililenga kutogombea tena ifikapo mwaka 2031, lakini hadi sasa sioni mtu anayeweza kuendeleza maono yangu.” Yoweri Kaguta Museveni Chapisho hilo limechapishwa kupitia hapa, hapa, hapa, hapa
Back
Top Bottom