Mwanariadha Emanuel Giniki Gisamoda ashika nafasi ya kwanza katika Mbio za Generali Geneve Marathon ( 2:10:39) huko Geneva Switzerland Jumapili 15 Mei 2022 katika kilomita 42, ambapo amewashinda...
Mechi za mwisho za epl ,man City yupo na Aston vila ya Steven Gerrad.
Kama tujuavyo Gerrad ni legend wa Liverpool mwenye kiapo Cha damu hivyo atataka kiisaidia timu yake japo hata kwa kupata droo...
Kama nilivyoeleza
Jana nimepata zari la kulipia takribani dollars 360 kupata tickets A67 ya kuingilia kuchek UEFA Final
Asante kwake Mr, Richardson's betting centre wa mtaani wangu Odessa kwa...
Habari za muda huu
Leo nimeona kikosi Cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Dodoma jiji nikaona kitu kimoja kuwa hawa utopolo wamekatatamaa na hawajui nn hatima Yao na labda Kuna ugomvi ndani Yao.
Leo...
Katika miaka yote ambayo Yanga huwa wanabeba ubingwa wa nchi basi huwaga kuna neema kubwa sana ya kimaisha miongoni mwa watanzania. Hata siku Yanga wakicheza na Simba...
Mheshimiwa Mbunge tunajua wewe ni mfia Yanga. Iache Yanga ipambane yenyewe badala ya wewe na uongozi wa Yanga kulazimisha mechi ichezwe nje ya uwanja.
Unahangaika sana kutafuta connection ili...
Mifano ya Yanga kusaidiwa ushindi na marefu ni mingi,haiesabiki. Dodoma Jiji wasiopohujumiwa na uongozi wanaweza kabisa kuifunga timu mbovu ya Yanga. Lakini najiuliza refa atakubali?!
Kazi na dawa, mabingwa watarajiwa wa kombe la klabu bingwa afrika mwaka huu ambalo litawapa tiketi ya kwenda kuwakilisha bara hili la giza kwenye FIFA club world cup , Yanga sc walikula bata la...
Club ya Simba ya Dar es Salaam imefanikiwa kunasa saini ya mchezaji James Chamanga wa Timu ya Taifa ya Zambia,Chipolopolo, anaechezea Red Arrows ya Zambia ambao ni mabingwa wa Zambia msimu huu...
Hawa jamaa wanacheza kama wako kwao.
Jamaa wana timu nzuri na wachezaji hawakosei pass wala kushindwa kujiamini.
Unatazama soka mpaka unafurahia.
Tuna mengi sana kujifunza kwa nia nzuri tu!
Sababu kubwa ni moja tu, hii timu mpaka sasa ndio inaonekana ni kibonde katika hili kundi na haishangazi sana kwani Niger (Timu ya Taifa na hata vilabu vya nchi hiyo) hawana record nzuri katika...
Salaam. Pole na majukumu ya Kila siku. Niende moja kwa moja kwenye ujumbe wangu: Bernard Morrison jifunze katika maisha KUOMBA MSAMAHA!
Kuomba MSAMAHA si unyonge!! Bali ni utu!! Una kipaji...
Matokeo wanayopata Yanga kwa Sasa Ni matokeo halisi ya mpira kwasababu kwa hapa ligi ilipofikia bahasha hazifanyi kazi tena.
Kil timu ukiondoa mbili au nne za juu yeyote anaweza kushuka daraja ...
Patashika ya Michuano ya Kombe la Azam Sports Federation Cup kuendelea kupigwa leo Mei 14, 2022 ambapo Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, anakipiga na TP Lindanda Wana Kawekamo Pamba FC, katika hatua...
Liverpool imefanikiwa kushinda Kombe la FA baada ya kuifunga Chelsea kwa penati 6-5 katika fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Wembley, leo Mei 14, 2022.
Hadi dakika 90 zinakamilika matokeo...
Kwa wale vijana waliozaliwa miaka ya 2000 nawakumbusha tu kuwa Pamba ya Mwanza ambayo kesho inacheza robo fainali na Simba ilikuwa sio ya kawaida.
Golini alikuwa Madata Lubigisa, kulia David...
Kwa Wajihi na Kaliba ya kimuonekano ya Bw Ahmed Ally hafananii kabisa na wala hana uwezo huo linapokuja swala la kutaka kutupa dongo, na haswa kama anataka kujibizana na Msema hovyo wa ile Timu...
Kuna timu moja inajiita "tamu" inawindwa vilivyo na mnyama.
Kwa kipindi kirefu imekuwa ikipokea wageni toka nje ili kuwapa utamu wake lakini mnyama amekuwa akikichafua hadi wanashindwa kupeana...
Zamani ilikuwa ni vigumu kwa Simba kumtema au kumweka mapumzikoni mchezaji tegemeo hata kama hana nidhamu, ilikuwa ikiogopa kuwaudhi wanachama na mashabiki wake kwa sasa hivi mambo hayo hamna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.