Tumekulia timing sasa umeanza kujaa, figisu zako za kutompenda na kumuhujumu kocha Kaze wote tunajua, na tunajua bado wewe ni Simba, kwanini usituachie klabu yetu? Ondoka bhana Yanga tunawatu...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania NBC Premier League kuendelea kupigwa leo Mei 11, 2022 ambapo Simba SC wanapambana na Kagera Sugar kwenye Dimba la Benjamin Mkapa
Mchezo unatarajiwa kuwa mkali hasa...
Tusheherekee zetu tu kwa Kushinda jana na Kufuzu huko Robo Fainali ya CAFCC na kupata hicho Kitita cha Shilingi Milioni Mia Nane ( 800,000,000/= Tsh)
Ila kwa Mpira mbovu niliouona Jana huku Beki...
Na huyo Demu wake wa hapo ndiyo aliyepandikizwa Kummaliza na Klabu moja waliyocheza nayo na akakabwa vilivyo na Mkongo Mwenzake.
Halafu Yanga SC hakikisheni yule Dogo ( Mganga wenu ) ambaye huwa...
Habari zinazoripotiwa na vyombo mbalimbali wakati huu zinadai yule mshambuliaji hatari wa Borrusia Dortmund ya Ujerumani, Erling Braut Haaland, ametua rasmi Man City.
Amesaini mkataba...
Naushukuru sana Uongozi wa Simba SC kwa Kuchukua Maamuzi haya magumu dhidi yake Bernard Morrison na nimedokezwa kuwa upo uwezekano pia Mkataba wake ukavunjwa na akaachwa rasmi kwani Uongozi wa...
Kumekuwa na sintofahamu nyingi kuhusiana na mchezaji kipenzi cha wana yanga Bernard Morrison.
Ikumbukwe kuwa, week iliyopita yanga walisafiri kuelekea mkoani Shinyanga kucheza mchezo wao wa ligi...
"Yale maneno yangu yote mabaya dhidi ya Yanga SC niliyokuwa nikiyasema nikiwa Simba SC nilikuwa nasherehesha tu na nashangaa Watu wengi waliyaamini na hata hapa Yanga SC nitasema mabaya ya Simba...
Nipo Uwanja wa Mkapa muda huu nikiombea Simba wapoteze mchezo wao wa leo
Mimi Ni mpenzi wa timu ya Wananchi na muda huu nipo kwa Mkapa kushuhudia mechi ya bingwa aliyemaliza Muda wake vs Kagera...
Kocha aliyeshindwa kuinoa Manchester united mnoshki ole ameitwa kwenye ligi hiyo pendwa ulimwenguni. Timu mojawapo iliyotajwa kutaka huduma yake ni Burnley ya nchini humo. Vile vile baadhi ya...
Nashindwa kuelewa Europa League (Uefa ndogo) inakuwaje nusu fainali ina michezo mi4 badala ya miwili?
Kwa maana hii fainali wanaingia wangapi? Na bingwa anakuja kupatikana vipi?
Sent using...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania NBC Premier League imeendelea tena leo kwa mchezo mmoja ambapo Mbeya City walikuwa wakiwakaribisha Azam FC kwenye Uwanja wa Sokoine.
Mchezo umekwisha kwa Mbeya City...
Siku hizi nafasi hii imekuwa msaada mkubwa kwa walinzi na nafasi yao ni kucheza kwa kuwasaidia walinzi na pia wakiwa na nafasi ya kutengeneza mashambulizi.
Viungo kama Claude Makelele, Patrik...
Wengi hawataamini lakini ukweli ndio huu,
Hali ya kukosa mabao kwa Yanga leo imeingia katika mechi dhidi ya Tanzania Prison, kabla ya hapo zimekuwepo mechi kadhaa ambapo Yanga mbali ya kucheza...
Mwenye kuweza kutupa msimamo wa ligi mpaka usiku huu naomba afanye hivyo.
Yanga bila shaka amebakiza mechi nane kama sio saba mpaka kufikia leo huku akimzidi Simba kwa pointi kumi.
Tusaidieni...
Baada ya tetesi nyingi ikiwemo kuelezwa amekosana na kocha wake, taarifa nyingine za ndani zinaeleza kuwa kiungo fundi wa Simba, Clatous Chama hataonekana kwenye mechi wala mazoezini kwa mwezi...
Mashabiki wa Simba wanatumia Akili saana kueneza propaganda Zao siku hizi baada ya kuona mwaka huu kombe hawana wameanza propaganda kumtowa mayele kwenye reli Mara sio mshambuliaji
Mara ni wa...
Leo Azam wamekufa tena bao 2 - 1 kutoka kwa Mbeya City
Kiukweli Azam sasa hivi sio tena timu ya kuiongelea, timu imefanya uwekezaji mkubwa, ina kila kitu, ina uwezo wa kumsajili mchezaji yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.