Mchezaji mzuri anapaswa kung'aa kwenye timu yoyote na nchi yoyote.
Messi kushindwa kung'aa akiwa na timu ya PSG nchini ufaransa kumethibitisha kuwa Messi yuko over-rated!!
Ameishia na keshaanza...
Vuguvugu na patashika na mshike mshike ya Ligi Kuu Tanzania Bara NBC Premier League kuendelea kupigwa leo Mei 18, 2022 ambapo Wana lamba lamba Azam FC wanamkaribisha Mnyama Mkali Mwituni Simba SC...
Nimewaza na kuja na wazo linalohusu kuweka taarifa za wachezaji wa Kitanzania wa michezo mbalimbali ikiwemo futiboli-ligi ya bongo katika mtandao wa Wikipedia na mitandao mingine ya soka kama vile...
Akizungumza kwenye kipindi cha uchambuzi pale Clouds TV & FM.
Aliyewahi kuwa kiungo wa Simba, Azam na Taifa Stars, Amri Kiemba amefichua wazi kwamba maandalizi ya mechi ya Yanga na Azam, wao Azam...
Upo mkakati wa kuhakikisha Cloutus Chota Chama anapewa kiasi chake cha pesa anachoidai Simba kutokana na Kuvunja mkataba wake na Berkane.
Ikumbukwe kuwa Simba SC walimpanga Chama kutumia pesa...
Anahitaji ku suppotiwa kwa kila namna. Hawa mabeberu wanalazimisha watu wote wakumbatie ushoga.
---
A group fighting homophobia in football has called on the French league and Paris...
Habari za jioni wadau,
Mungu ni mwema sana kwa kutupa nafasi nyingine ya kuiona siku ya leo iliyosindikizwa na mechi ya kibabe kati ya simba na Azam mchezo ambao umemalizika kwa sare na wote...
Nimekuwa nasikia tambo na majigambo toka kwa viongozi, makocha na hata mashabiki wa Simba juu ya uhakika walionao kubeba ubingwa wa NBC premier league msimu huu.
Lakini mimi kwa uelewa wangu ni...
Mpira umekua na vituko vya ajabu sana hususani hapa kwetu Tanzania,eti baada ya kuonyesha uwezo mkubwa wa kuzifumania nyavu mchezaji Fiston Mayele limetokea kundi kubwa sana la watu waliotokea...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara NBC Premier League imeendelea tena leo Mei 17, 2020 ambapo Mbeya kwanza FC walikuwa wakiwakaribisha Geita Gold FC kwenye Dimba la Maji Maji mkoani Songea...
Beki hodari wa klabu ya Yanga, Kibwana Shomari ana miaka 21 kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari. Kwa mtindo huu atalitumikia Taifa kwa muda mrefu sana kama ilivyokuwa kwa Nsajigwa. Hakika...
Eti wakuu, TFF wanamiliki mpira wote wa miguu nchini? Maana huyu kapewa adhabu ya kutojihusisha na mpira wa miguu nchini kwa miaka mitano. Inamaana hata shule au chuo haruhusiwi kufanya ukocha?
Hii mechi tulishashinda kitambo. Leo Mayele lazima atupie hata 2 kuondoa Gundu mlilomtupia nyie Simba. Hii team yetu kabisa.... Dodoma hawawezi kutukamia...
Yanga tumejipanga hasa msimu huu...
Ni katika duru ya pili ya marudiano sasa ni dkk ya 83,T.P.Mazembe wanacheza wakiwa pungufu,waamuzi ni kama wote wako upande wa berkane,
Kila juhudi hapa inafanyika mazembe watolewe.very sad mpira...
Mimi nilikuwa namshabikia sana Karia, niliona ana mwelekeo mzuri sana wa kusaidia kuinua soka letu mbele, lakini baada ya kufanya tathmini kwa kuangalia demokrasia naona Karia anajenga chuki...
Katika dunia hii ya technologia iliyokomaa watu wanapunguza muda wa kwenda kwenye ma-ofisi mguu kwq mguu.
Club ya Yanga kama kweli wanataka kuongeza wigo wa wanachama wao.waanzishe mfumo wa...
Timu za Berkane na Orlando Pirates zimefika hatua ya final mashindano ya caf championship, Hii ni mara ya pili kwa timu ambazo zilifungwa na Simba kwenye uwanja wa Mkapa kufika hatua ya kucheza...
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeipiga faini ya USD 10,000– (Takriban Tsh. Milioni 23) Klabu hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kufanya ‘tambiko hatarishi’ katika mchezo dhidi ya Orlando...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.