Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,885
- 38,842
Club ya Simba ya Dar es Salaam imefanikiwa kunasa saini ya mchezaji James Chamanga wa Timu ya Taifa ya Zambia,Chipolopolo, anaechezea Red Arrows ya Zambia ambao ni mabingwa wa Zambia msimu huu. Beki huyo Kitasa mwenye umri wa miaka 22 amesajiwa kuja kuwa pacha wa beki kitasa wa Kenya Joash Onyango mwenye umri wa miaka 25.