Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,908
- 16,465
Shirikisho la Soka la Iran (FFIRI) limesema kuwa FIFA au mamlaka za Marekani zimeondoa mgao wa tiketi uliokuwa umetengwa kwa mashabiki wa Iran kwa mechi zote tatu za hatua ya makundi zitakazochezwa Marekani.
FFIRI ilieleza kuwa tayari ilikuwa imeanza mchakato wa kuuza tiketi hizo kwa mashabiki wake, na baadhi yao walikuwa tayari wamepanga safari za kuhudhuria mechi hizo.
Kanuni za FIFA zinatoa haki kwa kila shirikisho linaloshiriki kupokea takribani asilimia 8 ya tiketi za kila mechi ili kuzisambaza kwa mashabiki wake.
Mechi ya ufunguzi ya Kombe la Dunia 2026 itachezwa Alhamisi, Juni 11, 2026, katika Uwanja wa Estadio Azteca mjini Mexico City, ambapo wenyeji Mexico watafungua rasmi mashindano hayo kwa kuikabili Timu ya Taifa ya Afrika Kusini katika mchezo wa kwanza wa michuano hiyo.
Matukio mengine;
======
Iran's football federation said on Tuesday its ticket allocation had been pulled just days before the World Cup starts, leaving supporters who had already made travel plans unable to attend their team's matches.
The World Cup begins on Thursday, with Iran playing their first two Group G games in Los Angeles, against New Zealand on June 15 and Belgium on June 21, and then facing Egypt in Seattle on June 26.
In a statement, the Iranian federation said it had already begun the ticket sales process for the matches but could no longer provide them to fans.
"This is despite the fact that many Iranian football fans, relying on the officially announced process, had already made the necessary plans to attend the matches," the FFIRI added in a statement.
"Depriving Iranian supporters of access to their lawful and official allocation of tickets is an action contrary to the spirit governing international competitions and the principle of equality among participating countries.
"This development raises serious questions about the interference of non-sporting and political considerations in the organization of the world's biggest football event."
Each participating federation at the World Cup receives 8% of the tickets for each of their matches to be allocated to fans according to their own criteria.
FIFA did not immediately respond to a request for comment.
Mechi ya ufunguzi ya Kombe la Dunia 2026 itachezwa Alhamisi, Juni 11, 2026, katika Uwanja wa Estadio Azteca mjini Mexico City, ambapo wenyeji Mexico watafungua rasmi mashindano hayo kwa kuikabili Timu ya Taifa ya Afrika Kusini katika mchezo wa kwanza wa michuano hiyo.
Matukio mengine;
- Iran yataka kucheza mechi za Kombe la Dunia nje ya Marekani
- FIFA yakataa ombi la Iran la kucheza mechi za Kombe la Dunia nje ya Marekani
- Trump: Kwa kweli ‘sijali’ kama Iran itashiriki Kombe la Dunia 2026
- Rais wa FIFA: Nimeonana na Iran, itashiriki Mechi za Kombe la Dunia 2026 zilizoandaliwa Marekani licha ya vita
======
Iran's football federation said on Tuesday its ticket allocation had been pulled just days before the World Cup starts, leaving supporters who had already made travel plans unable to attend their team's matches.
The World Cup begins on Thursday, with Iran playing their first two Group G games in Los Angeles, against New Zealand on June 15 and Belgium on June 21, and then facing Egypt in Seattle on June 26.
In a statement, the Iranian federation said it had already begun the ticket sales process for the matches but could no longer provide them to fans.
"This is despite the fact that many Iranian football fans, relying on the officially announced process, had already made the necessary plans to attend the matches," the FFIRI added in a statement.
"Depriving Iranian supporters of access to their lawful and official allocation of tickets is an action contrary to the spirit governing international competitions and the principle of equality among participating countries.
"This development raises serious questions about the interference of non-sporting and political considerations in the organization of the world's biggest football event."
Each participating federation at the World Cup receives 8% of the tickets for each of their matches to be allocated to fans according to their own criteria.
'PRINCIPLES OF NEUTRALITY'
The FFIRI did not say who had made the decision to withhold the tickets but urged FIFA, soccer's governing body, to adhere to "the principles of neutrality, fairness, and established regulations" and called on it to prevent off-field issues from casting a shadow over the tournament.FIFA did not immediately respond to a request for comment.