Kipa Ivo Mapunda, Kocha Micho, wang'ara Ligi ya Ethiopia
Na Vicky Kimaro
KIPA wa zamani wa Yanga, Ivo Mapunda na kocha wake Mserbia Sredojevich Milutin 'Micho' wameiongoza St. George kutwaa...
FROM THE DUGOUT | Allan Ssekamatte
I finally believe the hype. Barcelona is te best team in the world. Their 2-0 stroll over Manchester United in the Champions League final is the most clinical...
- Wapenzi wa baseball vipi mpo? Haya tunaanza kufuatilia baseball league ya US, kama kawaida mimi ni mpenzi wa Yankees, hela nyingi lakini matunda hamna, karibuni tuangalaie baseball league.
- By...
FRENCH OPEN
Venue: Roland Garros Date: 24 May - 7 June
Coverage: Live on BBC Red Button, live streaming and daily text commentary on BBC Sport website, updates on BBC Radio 5 Live plus second...
Kama kuna kitu kinachokera kuelekea fainali ya mabingwa ulaya mwaka huu ni matangazo yaliyotolewa na yanayotolewa na kituo cha TV cha Channel ten.
Licha ya kuonyesha unazi wa wazi kwa timu...
Ukistaajabu ya arsenal wa nairobi utaona ya manchester wa nigeria, huo ndio msemo rahisi na wenye msingi kwamba dunia hii ina mambo na wingi wa vioja, miaka iliyopita tulishuhudia watu wakiuwawa...
Katika hali inayoonesha kukerwa na mfumo mzima wa uendeshaji wa timu ya taifa na maandalizi ya timu ya taifa kwa ajili ya mechi dhidi ya new zealand, ilikuwa ni tafrani katika uwanja wa karume...
Ligi ya vilabu vya wanawake mkoani dar, imeanza kwa kishindo huku mashabiki wa soka wakipata burudani isiyo kifani katika uwanja wa karume jijini, timu kama sayari,jkt,mburahati na mdela queen's...
Football Feed Article | Football | guardian.co.uk
Nigerian Man Utd fan kills 4 Barca fans with bus[/SIZE]
PORT HARCOURT, Nigeria, May 28 (Reuters) - A Manchester United fan in Nigeria...
Nakumbuka kuna wakati wanamuziki wa kizazi kipya walikuwa wakilalamika kwamba watangazaji (presenters) wa vituo vya redio walikuwa wanataka kulipwa pesa nyingi ili waweke nyimbo zao kwenye vipindi...
Hivi ni kweli matokeo ya mechi za NBA yanakuwaga yamepangwa? Nimesikia mtu anasema hapa kwa vile jana Nuggets wameshinda basi na leo Cavaliers watashinda ili kuongeza pizzazz na hivyo kutengeneza...
Kibaka Ajaribu Kuchomoka na Zawadi za Harusi ya Mtoto wa Sumaye
Wananchi wenye hasira wakijaribu kumuadhibu kibaka aliyejaribu kuchomoka na zawadi za harusi ya mtoto wa SumayeMonday, May 25, 2009...
Nikiwa mshabiki wa Gunners mwaka huu naona excitement ya ligi iko mkiani kuliko ilivyo juu, you can understand why I guess! So far kuna timu kama 8 ambazo zinaweza kushuka daraja, na kwenye...
Mganga kumrejesha Kaseja, Simba
Burhani Yakub,Tanga.
MWANAMICHEZO maarufu nchini na mpenzi wa klabu ya Simba,Profesa Maji Marefu amejitolea kumlipa mshahara wa Sh 1.5 milioni kwa mwezi...
Naombeni mnitajie japo mchezaji mpira leo hii ana kiwango cha wachezaji hawa
YANGA AFRICAN
(1)HAMISI KINYE/JOSEPH FUNGO
(2)AHMED AMASHA
(3)ATHUMAN JUMA(CHAMA)
(4)ALLAN SHOMARI
(5)CHARLES...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.