Unamaanisha soksi za kijani na njano?Kijani na Njano itapendeza zaidi
Fulana Kijani, bukta njano au vise versaUnamaanisha soksi za kijani na njano?
Hili swala nilishalisemea kwenye thread za nyuma, nikajibiwa sijui jezi za Ureno na Inter mbona nazo mbaya. Lakini bado nasapoti kuwa jezi za Tanganyika stars oopphs Taifa stars in mbovu, mirangi yooooote ya bendera imejaa. Waige Uholanzi, German, nk wanazo rangi nyingi lakini hutumia hardly only 2 colours.
Wanayanga hawatakawia kuiita timu ya taifa ni YANGA maana tayari wanajiita wao ndiyo serikaliKijani na Njano itapendeza zaidi