Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Wadau, ninakumbuka marefarii wetu waliovuma miaka ya nyuma.
1. Mohamed Nyama- Lindi. Huyu alikuwa mnazi mkubwa sana wa SImba nakumbuka kuna mechi moja ya Simba Vs Yanga aliivuruga kutokana na unazi wake.
2. Joseph Okoth-Arusha
3. Msafiri Mkeremi- Morogoro
4. Idi Almasi (Mwanza) Salim Mbonde alikuwa akimalizi bin dhahabu
5. Joseph Mapunda- Ruvuma
1. Mohamed Nyama- Lindi. Huyu alikuwa mnazi mkubwa sana wa SImba nakumbuka kuna mechi moja ya Simba Vs Yanga aliivuruga kutokana na unazi wake.
2. Joseph Okoth-Arusha
3. Msafiri Mkeremi- Morogoro
4. Idi Almasi (Mwanza) Salim Mbonde alikuwa akimalizi bin dhahabu
5. Joseph Mapunda- Ruvuma