Nimetembelea madhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika hapa ushirombo bukombe shinyanga ambapo yameandaliwa kiwilaya. kuna mabo mengi sana hasa kuhusu
1.kilimo &ufugaji
2. Mazao ya misitu...
Jamaa kwa Unyenyekevu anasalimia mwananchi kwa adabu zote hadi anavua kofia!anayesalimiwa ni kijana.je heshima hii itaendelea baada ya kuukwaa uheshimiwa?
Carnival Queen: Rihanna was scantily clad in an elaborate carnival outfit as she took part in the Kadmooment Day parade in Barbados earlier today
All tied up: The S&M singer donned a cut...
Kwa miaka mingi kumekuwa na mashindano ya urembo wa akina dada mamiss na wembamba na kwa uchache wanawake wanene.Lakini vipi wajawazito?
Nchini Marekani katika jimbo la Texas kumefanyika...
Sijui ni lini jamani CCM itajifunza kuacha kutumia watoto kwenye siasa, tulitegemea wangejifunza kutokana
kifo cha mtoto yule wiki iliyopita lakini CCM pamoja na kujifanya wana majonzi makubwa ya...
Picha zote ni baada ya mkutano. Hawa ni wananchi wa jiji la Mwanza wakimsindikiza mbunge wao Wenje kwa maandamano makubwa katikati ya jiji baada ya mkutano.
Mheshimiwa Wenje kaongea mambo mengi ya...
Baada ya Wadau kuwashikia Bango, UWanja wa Ndege Kigoma Wameshafuta hii:
IMEBAKIA HII: (SIJUI NI KIASI GANI CHA FEDHA zA UMMA ZIMETUMIKA HAPO KUANDIKA UTUMBO NA KUFUTA );
Uongozi wa...
hivi viongozi wahusika hawaoni haya matatizo jamani???????????????
Wanafunzi wa darasa la saba kote nchini leo wamefanya mtihani wa taifa wa kuamaliza elimu ya msingi. Mitihani hiyo ianaisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.