ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Baada ya Wadau kuwashikia Bango, UWanja wa Ndege Kigoma Wameshafuta hii:
IMEBAKIA HII: (SIJUI NI KIASI GANI CHA FEDHA zA UMMA ZIMETUMIKA HAPO KUANDIKA UTUMBO NA KUFUTA );
Uongozi wa Uwanja wa Ndege Kigoma Umeandika kwenye blogu ya Michuzi ukilalamika kuwa Bandiko lililotolewa halipo tena tokea Januari, 2011. Utaona kilichofanyika hpo ni kufuta Ilani yote badala ya kurekebisha maandishi ili kutoa ujumbe kwa lugha sahihi..hii inaonyesha namna gani uongozi huo usivyokuwa makini...(Twaweza kujiuliza kwa nini waliandika kitu wasichojua?. na ni fedha za umma kiasi gani zilmetumika hapo kuandika na baadae kufuta baada ya wadau kulalamika?)...
source: http://issamichuzi.blogspot.com/search?q=lugha+gongana+kigoma
IMEBAKIA HII: (SIJUI NI KIASI GANI CHA FEDHA zA UMMA ZIMETUMIKA HAPO KUANDIKA UTUMBO NA KUFUTA );
Uongozi wa Uwanja wa Ndege Kigoma Umeandika kwenye blogu ya Michuzi ukilalamika kuwa Bandiko lililotolewa halipo tena tokea Januari, 2011. Utaona kilichofanyika hpo ni kufuta Ilani yote badala ya kurekebisha maandishi ili kutoa ujumbe kwa lugha sahihi..hii inaonyesha namna gani uongozi huo usivyokuwa makini...(Twaweza kujiuliza kwa nini waliandika kitu wasichojua?. na ni fedha za umma kiasi gani zilmetumika hapo kuandika na baadae kufuta baada ya wadau kulalamika?)...
source: http://issamichuzi.blogspot.com/search?q=lugha+gongana+kigoma