Mtakatifu Ivuga ni muhimu sana hii nchi igawanywe ili kuondokana na wanafiki kama hawa CCM. Wanahubiri umoja kumbe mioyo yao imejaa ghiliba kama za hao watumwa walioshika hilo bango. Tukigawanywa kimajimbo itasaidia sana kuondokana na upumbavu mwingi uliojaa vichwani mwa wanaofikiri kwa masaburi kama ccm & co.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.