Picha ya Siku

sijui ni PC yangu....lakini hiyo picha haiko clear...........
 
sijui ni PC yangu....lakini hiyo picha haiko clear...........
attachment.php


Kwangu mimi hii ndio picha ya wiki,ina maneno mengi ya kuiwekea hii picha.Mnamuona wa nne toka kushoto? ipeni maneno
 
‎"Think kiasi gani tumepoteza kama taifa, Kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!
TICTS, RADAR,NDEGE YA RAIS, SAFARI ZA NJE YA NCHI-UTADHANI YEYE NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE, TWIN TOWERS BOT, MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA NCHI(Madini), KAGODA(EPA), MEREMETA, RICHMOND/DOWANS, WAKUU WA MIKOA na WILAYA(Hao ni Watumishi wa CCM), IPTL, NA MINGINE MINGI...
TUAMBIANE KUWA... SIKU TULIZOSUBIRI, KUVUMILIA, KU...TESEKA NA HATA KUDHARAULIWA KWA AIBU ZIMEKWISHA: NAPENDEKEZA
JUMATATU HII 29 AUGUSTI 2011 ITAKUWA SIKU TAKATIFU KWETU SOTE KUONESHA UZALENDO WETU KUITETEA NA KUITUKUZA NCHI YETU KWA KUONESHA KWA VITENDO KUCHUKIZWA KWETU NA MAOVU YOTE TULIYOSHUHUDIA KWA ZAIDI YA MIAKA 30 SASA! NJOONI KILA MMOJA KWA BARABARA YAKE KWA AMANI NA UMOJA WETU TUELEKEE MNAZI MMOJA. WALIOKO MIKOANI WAELEKEE OFISI ZA SERIKALI MIKOANI, NA WILAYANI KWAO.Amini katika Mungu! Amkeni, Toeni sauti, Nchi inakwisha.
 
hawa ndo walikua wanamsukuma jairo? huyo mama kushoto hapo angeambiwa asukume gari ya mumewe imezimika angejidai hawezi! WOMEN! MPHHHHH...
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35920&amp;d=1314185267" border="0" alt="" /><br />
<br />
Kwangu mimi hii ndio picha ya wiki,ina maneno mengi ya kuiwekea hii picha.Mnamuona wa nne toka kushoto? ipeni maneno
<br />
<br />
 
&#8206;"Think kiasi gani tumepoteza kama taifa, Kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!<br />
TICTS, RADAR,NDEGE YA RAIS, SAFARI ZA NJE YA NCHI-UTADHANI YEYE NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE, TWIN TOWERS BOT, MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA NCHI(Madini), KAGODA(EPA), MEREMETA, RICHMOND/DOWANS, WAKUU WA MIKOA na WILAYA(Hao ni Watumishi wa CCM), IPTL, NA MINGINE MINGI...<br />
TUAMBIANE KUWA... SIKU TULIZOSUBIRI, KUVUMILIA, KU...TESEKA NA HATA KUDHARAULIWA KWA AIBU ZIMEKWISHA: NAPENDEKEZA<br />
JUMATATU HII 29 AUGUSTI 2011 ITAKUWA SIKU TAKATIFU KWETU SOTE KUONESHA UZALENDO WETU KUITETEA NA KUITUKUZA NCHI YETU KWA KUONESHA KWA VITENDO KUCHUKIZWA KWETU NA MAOVU YOTE TULIYOSHUHUDIA KWA ZAIDI YA MIAKA 30 SASA! NJOONI KILA MMOJA KWA BARABARA YAKE KWA AMANI NA UMOJA WETU TUELEKEE MNAZI MMOJA. WALIOKO MIKOANI WAELEKEE OFISI ZA SERIKALI MIKOANI, NA WILAYANI KWAO.Amini katika Mungu! Amkeni, Toeni sauti, Nchi inakwisha.
<br />
<br />
umesahau zfuatazo
1. Posho za vkao (siting allowance)
2. Safar za mkuu wa kaya.
3. Uttr wa viongoz wa serkal. Nk
 
Ningekuwa na uwezo nngewalpua wote wafie hapohapo.
Nisngependa hata unyayo wao uonekane, wanankera kwel. Wapumbavu wakubwa.
 
attachment.php


Kwangu mimi hii ndio picha ya wiki,ina maneno mengi ya kuiwekea hii picha.Mnamuona wa nne toka kushoto? ipeni maneno

Kale kataa ka juu kwenye mlango wa nyuma kakiwaka si huwa gari imefunga brake au inafunga brake? Sasa hawa jamaa si wanaumia kusukuma gari inayosimama? Au ndio wameifikisha lakini wanaonekana bado kutafuna energy yao!!!!!!!!!
 
Kale kataa ka juu kwenye mlango wa nyuma kakiwaka si huwa gari imefunga brake au inafunga brake? Sasa hawa jamaa si wanaumia kusukuma gari inayosimama? Au ndio wameifikisha lakini wanaonekana bado kutafuna energy yao!!!!!!!!!
<br />
<br />
mkuu hapo maanake bunge haliendi lakini wanalazimisha tu liende ndo pale inatokea bora liende na kukonga meza hiyo imepita mala naunga mkono hoja 100%..
 
Hii wizara ina matatizo inabidi ifumuliwe yote, wafanyakazi wote wahamishwe walete watumishi wenye tija
 
Kale kataa ka juu kwenye mlango wa nyuma kakiwaka si huwa gari imefunga brake au inafunga brake? Sasa hawa jamaa si wanaumia kusukuma gari inayosimama? Au ndio wameifikisha lakini wanaonekana bado kutafuna energy yao!!!!!!!!!

Walivyokuwa wanasukuma gari ilikuwa inaenda kwa kasi sana mpaka ikahitaji kupunguza kasi kwa break, mitanzania ndivyo tulivyo, ndio maana hao jamaa masaburi yao yanaonekana hapo wakiashiria kufikiria kwa kuyatumia.
 
Kwa hali hii ya huyu jairo hakika 2015 ni ndoto ya alinacha kutoboa. Tuombe uzima tuona. Na hata ile ziara Washngton Dc kwa yule PAPA wao imestishwa kwa tetesi nilizonazo. Shenzi kabisaaa!!
 
Back
Top Bottom