Kizazi cha wana wa Israeli waliosalia Afrika na mchango wao ndani ya mataifa ya Afrika ya Mashariki

Undava King

JF-Expert Member
Aug 11, 2017
3,181
5,289
Najua una shauku ya kutaka kujua ni kizazi gani hicho cha wana wa Israeli kinachozungumziwa, anyway tuanze na hili la mzaha kwanza hivi unajua kuwa asili ya baba yetu wa taifa ni MLUO?

Ndiyo ni kweli namaanisha na siyo mzaha ni kweli huyu ni mjaluo by origin.

Najua nimekushtua kidogo maana hili hata Madaraka wala Makongoro naamini linaweza washtua japo mama yake wanamuita mama Mgaya(Wakurya mmenielewa)

Swali lingine sasa ujaluo na wana wa Israeli wapi na wapi? Tafadhali usiwe na papara za kukomba mboga ukifikiri unalikomoa bakuli ambalo nalo limekubebea tu lina-wish ushibe; tafadhali ongozana nami:-

WAJALUO

Simulizi za mwanzo wa kabila hili ambazo zimefanywa na wataalamu mbalimbali wa historia na watafiti wa mambo kale wanatuambia kuwa kabila hili asili yake ni huko Israeli toka kwa wana wa Ham ambao baadae walihamia Kusini yaani eneo la Misri ya leo ambapo kizazi hiki kinaonekana kurelate sana na wakushi wakipindi hicho.

Kutokana na jadi ya ukulima,ufugaji,uunzi na uvuvi kabila hili halikuwa na budi ila kugawanyika katika magroup kadhaa wakati wa ku-migrate WAKIFATISHA (LUO) mto NILE(NAM-dilect ya sasa kumaanisha mto) hivyo neno LUO lilitokana na kufuatisha mto Nile (wa-Nilotic) na neno DHO-LUO au JA-LUO umaanisha kabila au mluo hapo naamini umeanza kunielewa.

Sasa hawa watu mwanzoni wakiwa Misri walikuwa bado na light skin japo ilikuwa imeshaanza kuwa chotara due to muingiliano ila baada kuingia Sudan nakuendelea hadi kenya, Tanzania,Uganda,Kongo n.k ile rangi yao ya asili ikamezwa na rangi yetu mujarabu yakiafrika yakuvutia yaani nyeusi tii kiasi cha mjaluo kuwa kinara wa makabila yanayoongoza kwa watu weusi ukanda huu.

Kama ilivyoada kadri unavyozidi kwenda mbali unazidi poteza asili, hivyo dialect standard/proper luo mpaka hivi sasa imebaki kuzungumzwa Kenya na Tanzania tu huku hao wa mataifa mengine let say wakaramanjong,Alur, padhola,acholi n.k wa Uganda na mataifa mengine uongea dialect nyingine yakiluo chenye mchanganyiko na lugha za wenyeji walipo.

Tuliache hilo ebu tuzungumzie LUO proper yaani hizi branches kuu mbili za waluo ambao ni raia wa Kenya na wale wa Tanzania; makundi hayo makuu(A.K.A Jo ramogi au Jo onagi)ni Kiseru, Girango,Sirati, Imbo na other luos.

Sasa hapa kwenye others luo ndipo tunakutana na ukoo wa Jo Kowango or Jo wanga (Jo- usimama badala ya neno watu wa au uzao wa)
Ambapo miongoni mwa watoto wake huyu Kowango ambaye alikwenda na kuoa mluhya hivyo muingiliano huu ukapelekea kupatikana kwa MZANAKI ambapo watu hawa walipovuka mipaka na kuja kuishi jirani na jamii za wakwaya,wakabwa,wakurya wakaanza kupoteza ile asili yao nakuishia kuanza kutambuliwa kama jamii ya WASUBA (Yaani LUO SUBA) sasa umeelewa kwanini nilianza uzi wangu kwa kumtaja Nyerere kuwa member wa kabila hili kiasili.

UPI NI MCHANGO WAO BASI KATIKA MATAIFA YETU YA AFRIKA MASHARIKI KABLA NA BAADA YA UHURU

*NCHINI KENYA; hawa watu walisaidiana na wakikuyu kwa asilimia kubwa kufight ukoloni, ukiachilia mbalimbali MAUMAU 1955's ya kina Dedani Kimathi na mchango wa Jomo Kenyatta kwenye kufanikisha Uhuru huwezi kusahau juhudi za Mzee Ramogi Oginga ambaye inasemekana

ilikuwa ndiye awe raisi ila kwa hekima (alikuwa muumini wa ujamaa na hakuwa na tamaa hivyo ziliiva sana na Nyerere) akampisha Mzee Jomo Kenyatta kutawala kisha makubaliano kijiti kingepokezwa kwa mtawala wa kiluo atakayefata ila kilichokujatokea wote tunakijua mpaka leo ndiyo kwanza mtoto wa muasisi aliyeko madarakani anapanga kurejesha mizani mahali pake kwa kumkaimisha kiti mtoto wa muasisi wa kiluo hatujajua bado kama historia itaandikwa au la.

Kingine watu hawa ni wasomi sana na wako bright wengi wao yaani kiufupi sifa nyingi alizonazo muhaya hawa pia wanazo na ni watani wa jadi, hivyo kutokana na hili wajaluo wanamsaada mkubwa kwa maendeleo ya Kenya hasa pale inapojivunia kuwa na Population Index kubwa ya Human resource Afrika mashariki.

UGANDA; Uko Uganda tunatambua juu ya uwepo wa viongozi kadhaa wa kiluo ambao wengine michango yao iliimarisha taifa na kulishepu kuwa lilivyo leo(Milton Obote)na wengine walileta madhila makubwa na makovu yakabakia ya kihistoria(Iddi Amin Dada)

ZANZIBAR; Bila shaka unajiuliza huku Zanzibar pia mluo anausikaje? Jibu ni rahisi tu kuwa yale mapinduzi tunayoyasherehekea leo hii huko visiwani Zanzibar kuna mluo alihusika pia kama kiongozi I think somebody Okelo if I'm not mistaken mtanishahihisha.

TANZANIA; Kama makabila mengine mluo pia alijumuhika na makabila mengine kabla na baada ya Uhuru kupigania na kulijenga taifa.

Mwalimu Nyerere akiwa muasisi wa taifa hili akuwa mtu wakudharau mambo ya asili na utamaduni hivyo sote tunamfahamu au tulizoea kumwona na kirungu chake ambacho akiachi mahala popote aendako inasemekana haliwai kukiacha mara moja tu mezani mikoa ya kusini akanawa mikono kwa ufundi uliopo huko na akukanyagapo tena, Utamaduni huu na zindiko hili la mataifa haya mawili

namaanisha Kenya na Tanzania(siri ya butiama) ulifanywa na nguli wa mitishamba na rafiki kipenzi wa Mwalimu Bwana Odemba baba yake na mwanamitindo mashuhuri aliyewahi nyakuwa taji hilo la Afrika nakututoa kimasomaso Miriam Odemba ambapo mchango wake ndo moja ya vielelezo vya chini ya kapeti vya amani tuliyonayo bila kuwasahu wale wazee wadaslamu ukiachana na zile sababu zingine za msingi ulizosoma darasani.

Hivyo urafiki wake yule waziri wa ujenzi na mtoto wa huyu nguli wa siasa wa nchini Kenya haukuja kwa bahati mbaya maana ni mwendelezo wa mahusiano yalokuwepo kabla yake, mpaka akafanikiwa kuja kukalia kiti na kama angekuwa hai basi lazima angemsapoti mwaniaji huyu wa sasa kukalia kiti, ila inasemekana kuwa BTM ilimkataa ndiyo maana hakuweza kudumu kitini kwa muda mrefu. Naamini nimeeleweka.

Kuna mengi sana yamefanywa na hawa watu lakini zingine ni siri zibakizo siri can't be revealed here, nimalizie tu na hili unafikiri marekani walikuwa wajinga kuongozwa na mjaluo?

Bila shaka haikuwa ajali hata ukizingatia wakati wa uchaguzi watu walikuwa wakimchukulia trump kama hazimtoshi lakini matokeo ya uchaguzi ule yaliushangaza ulimwengu ndipo baadae

tunakuja kufumbuka macho kuwa kumbe huyu jamaa ni mwisraeli pia so vipi ukiunganisha doti na yule mluo unahisi sababu ni nini? bila shaka ni kule kuwa na damu yenye chembe chembe za u royal blood au wateule ambao ukiwabariki utabarikiwa na ukiwalahani utalaaniwa.

Hivyo usishangae ukiwakashifu waisraeli na wamisri huku marekani yeye akiwa anaziabudu tamaduni zao nakuzianika kwenye chapa,dollar,kuwapa hifadhi na kuwalinda by any means matokeo yake ni mapinduzi ya kiteknolojia na uchumi, dunia nzima tunaishia kutamka neno zee grete amerika.

NB:
References
Historical origins of the Luos by William Robert Ochieng (2002)

The Luo: a legendary history of the luo people of Africa from a biblical perspective: the history of descendants of Jews in the Nile valley who known as the Luo. Author George William Alenyo.

Further observation on Blood groups in East Africa tribes-jstor. Authors A.C. Allison, Elizabeth W. Ikin and A.E Mourant.

The black Jews of Africa history. Religion,identity by Edith Bruder

Proof that Luos lived Alongside the Jews in Egypt During the same period in history. Article; news.cdn.ampproject.org
 
Ni kweli Mkuu hakuwai kukanyaga ardhi hiyo mpaka kufikwa kwake na mahuti, kuhusu swali la pili ni hatima hivyo hatujui itakuwa ni lini.
Ilikuwaje mpaka "Luo the King Makers" wakazidiwa ujanja pale 254?


Na mwakani hawaoni kwamba Ruto atawazidi ujanja?
 
Ilikuwaje mpaka "Luo the King Makers" wakazidiwa ujanja pale 254?


Na mwakani hawaoni kwamba Ruto atawazidi ujanja?

Historia ya siasa nchini Kenya ni very complicated kuliko yetu hasa ukitaka kufukua makaburi ya tawala zake na maovu mbalimbali yaliyofanyika katika nyakati tofauti tofauti za kila awamu japo hata sisi hatuko mbali nao tunamkimbiza mwizi kimyakimya kuliko nchi nyingine ukanda huu.

Unapozungumzia mluo kupigwa gepu na mkikuyu ni suala la chances, mluo alikubali kwa hiyari kumwachia mkikuyu madaraka kwa kudhani mkikuyu asingeingiwa na uchu wa madaraka nakung'ang'aniapo (ukizingatia kipindi hicho ndo kwanza Jomo Kenyatta alikuwa very hot kijana ambaye ni educated toka ulaya akikuta wenzake tiyari wameshapambana vya kutosha yeye exposure na elimu vikambeba kuaminiwa zaidi (Kasome Weep not, child by Ngugi Wathiong'o))

Hivyo kwa busara ilikuwa ni vizuri kumwachia kijana msomi zaidi katika society kama ilivyokuwa huku kwetu tulivyomchomoa Mwalimu pugu tukamsomesha hili harudi atuongoze kudai Uhuru haikuwa tofauti sana na kule kwa wenzetu.

Matokeo ni hayo fadhila mfadhili punda, hata hivyo kama ambavyo inajulikana hawa waisraeli ni watu walolaaniwa kuwa mediocre au watumwa wa mamasters wao nakutangatanga sababu ya kumwacha Mungu wao hivyo hivyo watafanya makubwa ila wao watabaki bila recognition kubwa inayostahili huku wakifaidisha wengine.

Ni jambo hili hili la Ramogi Oginga ambalo ndilo lililomu-insipire Nyerere kufikiria kuiunganisha East Africa nzima kwa upendo kuwa taifa moja na hili kuimarisha muungano huo ilipendekezwa Raisi awe Jomo Kenyatta jambo ambalo hata kabla ya kutimia kwa umoja wenyewe tuliishia kutibuana baada ya Tz na UG kugundua Kenya inawazunguka nakujirundikia mapochopocho kama yote, hivyo ubinafsi na Intellectual arrogance ya huyu bwana mkubwa ilifanya jumuiya ikaenda kibla kabla ya wakati.

Kuhusu Ruto na Oginga kuchuana mwakani hilo tuiachie fate ihamue nani wakenya wataamua awe Rais wao pengine historia itajirudia kwa hawa jamaa kupigwa tena na kitu kizito toka kwa Ruto au wataibuka kidedea pale top, nisuala la kusubiri muda utaamua.
 
Najua una shauku ya kutaka kujua ni kizazi gani hicho cha wana wa Israeli kinachozungumziwa, anyway tuanze na hili la mzaha kwanza hivi unajua kuwa asili ya baba yetu wa taifa ni MLUO?

Ndiyo ni kweli namaanisha na siyo mzaha ni kweli huyu ni mjaluo by origin.

Najua nimekushtua kidogo maana hili hata Madaraka wala Makongoro naamini linaweza washtua japo mama yake wanamuita mama Mgaya(Wakurya mmenielewa)

Swali lingine sasa ujaluo na wana wa Israeli wapi na wapi? Tafadhali usiwe na papara za kukomba mboga ukifikiri unalikomoa bakuli ambalo nalo limekubebea tu lina-wish ushibe; tafadhali ongozana nami:-

WAJALUO

Simulizi za mwanzo wa kabila hili ambazo zimefanywa na wataalamu mbalimbali wa historia na watafiti wa mambo kale wanatuambia kuwa kabila hili asili yake ni huko Israeli toka kwa wana wa Ham ambao baadae walihamia Kusini yaani eneo la Misri ya leo ambapo kizazi hiki kinaonekana kurelate sana na wakushi wakipindi hicho.

Kutokana na jadi ya ukulima,ufugaji,uunzi na uvuvi kabila hili halikuwa na budi ila kugawanyika katika magroup kadhaa wakati wa ku-migrate WAKIFATISHA (LUO) mto NILE(NAM-dilect ya sasa kumaanisha mto) hivyo neno LUO lilitokana na kufuatisha mto Nile (wa-Nilotic) na neno DHO-LUO au JA-LUO umaanisha kabila au mluo hapo naamini umeanza kunielewa.

Sasa hawa watu mwanzoni wakiwa Misri walikuwa bado na light skin japo ilikuwa imeshaanza kuwa chotara due to muingiliano ila baada kuingia Sudan nakuendelea hadi kenya, Tanzania,Uganda,Kongo n.k ile rangi yao ya asili ikamezwa na rangi yetu mujarabu yakiafrika yakuvutia yaani nyeusi tii kiasi cha mjaluo kuwa kinara wa makabila yanayoongoza kwa watu weusi ukanda huu.

Kama ilivyoada kadri unavyozidi kwenda mbali unazidi poteza asili, hivyo dialect standard/proper luo mpaka hivi sasa imebaki kuzungumzwa Kenya na Tanzania tu huku hao wa mataifa mengine let say wakaramanjong,Alur, padhola,acholi n.k wa Uganda na mataifa mengine uongea dialect nyingine yakiluo chenye mchanganyiko na lugha za wenyeji walipo.

Tuliache hilo ebu tuzungumzie LUO proper yaani hizi branches kuu mbili za waluo ambao ni raia wa Kenya na wale wa Tanzania; makundi hayo makuu(A.K.A Jo ramogi au Jo onagi)ni Kiseru, Girango,Sirati, Imbo na other luos.

Sasa hapa kwenye others luo ndipo tunakutana na ukoo wa Jo Kowango or Jo wanga (Jo- usimama badala ya neno watu wa au uzao wa)
Ambapo miongoni mwa watoto wake huyu Kowango ambaye alikwenda na kuoa mluhya hivyo muingiliano huu ukapelekea kupatikana kwa MZANAKI ambapo watu hawa walipovuka mipaka na kuja kuishi jirani na jamii za wakwaya,wakabwa,wakurya wakaanza kupoteza ile asili yao nakuishia kuanza kutambuliwa kama jamii ya WASUBA (Yaani LUO SUBA) sasa umeelewa kwanini nilianza uzi wangu kwa kumtaja Nyerere kuwa member wa kabila hili kiasili.

UPI NI MCHANGO WAO BASI KATIKA MATAIFA YETU YA AFRIKA MASHARIKI KABLA NA BAADA YA UHURU

*NCHINI KENYA; hawa watu walisaidiana na wakikuyu kwa asilimia kubwa kufight ukoloni, ukiachilia mbalimbali MAUMAU 1955's ya kina Dedani Kimathi na mchango wa Jomo Kenyatta kwenye kufanikisha Uhuru huwezi kusahau juhudi za Mzee Ramogi Oginga ambaye inasemekana

ilikuwa ndiye awe raisi ila kwa hekima (alikuwa muumini wa ujamaa na hakuwa na tamaa hivyo ziliiva sana na Nyerere) akampisha Mzee Jomo Kenyatta kutawala kisha makubaliano kijiti kingepokezwa kwa mtawala wa kiluo atakayefata ila kilichokujatokea wote tunakijua mpaka leo ndiyo kwanza mtoto wa muasisi aliyeko madarakani anapanga kurejesha mizani mahali pake kwa kumkaimisha kiti mtoto wa muasisi wa kiluo hatujajua bado kama historia itaandikwa au la.

Kingine watu hawa ni wasomi sana na wako bright wengi wao yaani kiufupi sifa nyingi alizonazo muhaya hawa pia wanazo na ni watani wa jadi, hivyo kutokana na hili wajaluo wanamsaada mkubwa kwa maendeleo ya Kenya hasa pale inapojivunia kuwa na Population Index kubwa ya Human resource Afrika mashariki.

UGANDA; Uko Uganda tunatambua juu ya uwepo wa viongozi kadhaa wa kiluo ambao wengine michango yao iliimarisha taifa na kulishepu kuwa lilivyo leo(Milton Obote)na wengine walileta madhila makubwa na makovu yakabakia ya kihistoria(Iddi Amin Dada)

ZANZIBAR; Bila shaka unajiuliza huku Zanzibar pia mluo anausikaje? Jibu ni raisi tu kuwa yale mapinduzi tunayoyasherehekea leo hii huko visiwani Zanzibar kuna mluo alihusika pia kama kiongozi I think somebody Okelo if I'm not mistaken mtanishahihisha.

TANZANIA; Kama makabila mengine mluo pia alijumuhika na makabila mengine kabla na baada ya Uhuru kupigania na kulijenga taifa.

Mwalimu Nyerere akiwa muasisi wa taifa hili akuwa mtu wakudharau mambo ya asili na utamaduni hivyo sote tunamfahamu au tulizoea kumwona na kirungu chake ambacho akiachi mahala popote aendako inasemekana haliwai kukiacha mara moja tu mezani mikoa ya kusini akanawa mikono kwa ufundi uliopo huko na akukanyagapo tena, Utamaduni huu na zindiko hili la mataifa haya mawili

namaanisha Kenya na Tanzania(siri ya butiama) ulifanywa na nguli wa mitishamba na rafiki kipenzi wa Mwalimu bwana Ramogi Oginga ambapo mchango wake ndo moja ya vielelezo vya chini ya kapeti vya amani tuliyonayo bila kuwasahu wale wazee wadaslamu ukiachana na zile sababu zingine za msingi ulizosoma darasani.

Hivyo urafiki wake yule waziri wa ujenzi na mtoto wa huyu nguli haukuja kwa bahati mbaya mpaka akafanikiwa kuja kukalia kiti na kama angekuwa hai basi lazima angemsapoti mwaniaji huyu wa sasa kukalia kiti, ila inasemekana kuwa BTM ilimkataa ndiyo maana hakuweza kudumu kitini kwa muda mrefu. Naamini nimeeleweka.

Kuna mengi sana yamefanywa na hawa watu lakini zingine ni siri zibakizo siri can't be revealed here, nimalizie tu na hili unafikiri marekani walikuwa wajinga kuongozwa na mjaluo?

Bila shaka haikuwa ajali hata ukizingatia wakati wa uchaguzi watu walikuwa wakimchukulia trump kama hazimtoshi lakini matokeo ya uchaguzi ule yaliushangaza ulimwengu ndipo baadae

tunakuja kufumbuka macho kuwa kumbe huyu jamaa ni mwisraeli pia so vipi ukiunganisha doti na yule mluo unahisi sababu ni nini? bila shaka ni kule kuwa na damu yenye chembe chembe za u royal blood au wateule ambao ukiwabariki utabarikiwa na ukiwalahani utalaaniwa.

Hivyo usishangae ukiwakashifu waisraeli na wamisri huku marekani yeye akiwa anaziabudu tamaduni zao nakuzianika kwenye chapa,dollar,kuwapa hifadhi na kuwalinda by any means matokeo yake ni mapinduzi ya kiteknolojia na uchumi, dunia nzima tunaishia kutamka neno zee grete amerika.

NB:
References
Historical origins of the Luos by William Robert Ochieng (2002)

The Luo: a legendary history of the luo people of Africa from a biblical perspective: the history of descendants of Jews in the Nile valley who known as the Luo. Author George William Alenyo.

Further observation on Blood groups in East Africa tribes-jstor. Authors A.C. Allison, Elizabeth W. Ikin and A.E Mourant.

The black Jews of Africa history. Religion,identity by Edith Bruder

Proof that Luos lived Alongside the Jews in Egypt During the same period in history. Article; news.cdn.ampproject.org

Hakuna Uhusiano Wowote Kati Ya Uzao Wa Hamu Na Uzao Wa Israel Hawa Watu Wanatoka Katika Familia Mbili Tofauti Haya Ndiyo Madhala Ya Kuleta Stor Za Vijiweni;
 
Hakuna Uhusiano Wowote Kati Ya Uzao Wa Hamu Na Uzao Wa Israel Hawa Watu Wanatoka Katika Familia Mbili Tofauti Haya Ndiyo Madhala Ya Kuleta Stor Za Vijiweni;
Napenda wajuzi kama wewe kikubwa ni ulete hoja mezani nasiyo tantarira ukileta evidence inayosupport madai hayo na ikaweza kutoa ufafanuzi usiyo na mashaka utakuwa umetoa mchango wa elimu kwetu na tuta-appreciate mchango wako.
 
Najua una shauku ya kutaka kujua ni kizazi gani hicho cha wana wa Israeli kinachozungumziwa, anyway tuanze na hili la mzaha kwanza hivi unajua kuwa asili ya baba yetu wa taifa ni MLUO?

Ndiyo ni kweli namaanisha na siyo mzaha ni kweli huyu ni mjaluo by origin.

Najua nimekushtua kidogo maana hili hata Madaraka wala Makongoro naamini linaweza washtua japo mama yake wanamuita mama Mgaya(Wakurya mmenielewa)

Swali lingine sasa ujaluo na wana wa Israeli wapi na wapi? Tafadhali usiwe na papara za kukomba mboga ukifikiri unalikomoa bakuli ambalo nalo limekubebea tu lina-wish ushibe; tafadhali ongozana nami:-

WAJALUO

Simulizi za mwanzo wa kabila hili ambazo zimefanywa na wataalamu mbalimbali wa historia na watafiti wa mambo kale wanatuambia kuwa kabila hili asili yake ni huko Israeli toka kwa wana wa Ham ambao baadae walihamia Kusini yaani eneo la Misri ya leo ambapo kizazi hiki kinaonekana kurelate sana na wakushi wakipindi hicho.

Kutokana na jadi ya ukulima,ufugaji,uunzi na uvuvi kabila hili halikuwa na budi ila kugawanyika katika magroup kadhaa wakati wa ku-migrate WAKIFATISHA (LUO) mto NILE(NAM-dilect ya sasa kumaanisha mto) hivyo neno LUO lilitokana na kufuatisha mto Nile (wa-Nilotic) na neno DHO-LUO au JA-LUO umaanisha kabila au mluo hapo naamini umeanza kunielewa.

Sasa hawa watu mwanzoni wakiwa Misri walikuwa bado na light skin japo ilikuwa imeshaanza kuwa chotara due to muingiliano ila baada kuingia Sudan nakuendelea hadi kenya, Tanzania,Uganda,Kongo n.k ile rangi yao ya asili ikamezwa na rangi yetu mujarabu yakiafrika yakuvutia yaani nyeusi tii kiasi cha mjaluo kuwa kinara wa makabila yanayoongoza kwa watu weusi ukanda huu.

Kama ilivyoada kadri unavyozidi kwenda mbali unazidi poteza asili, hivyo dialect standard/proper luo mpaka hivi sasa imebaki kuzungumzwa Kenya na Tanzania tu huku hao wa mataifa mengine let say wakaramanjong,Alur, padhola,acholi n.k wa Uganda na mataifa mengine uongea dialect nyingine yakiluo chenye mchanganyiko na lugha za wenyeji walipo.

Tuliache hilo ebu tuzungumzie LUO proper yaani hizi branches kuu mbili za waluo ambao ni raia wa Kenya na wale wa Tanzania; makundi hayo makuu(A.K.A Jo ramogi au Jo onagi)ni Kiseru, Girango,Sirati, Imbo na other luos.

Sasa hapa kwenye others luo ndipo tunakutana na ukoo wa Jo Kowango or Jo wanga (Jo- usimama badala ya neno watu wa au uzao wa)
Ambapo miongoni mwa watoto wake huyu Kowango ambaye alikwenda na kuoa mluhya hivyo muingiliano huu ukapelekea kupatikana kwa MZANAKI ambapo watu hawa walipovuka mipaka na kuja kuishi jirani na jamii za wakwaya,wakabwa,wakurya wakaanza kupoteza ile asili yao nakuishia kuanza kutambuliwa kama jamii ya WASUBA (Yaani LUO SUBA) sasa umeelewa kwanini nilianza uzi wangu kwa kumtaja Nyerere kuwa member wa kabila hili kiasili.

UPI NI MCHANGO WAO BASI KATIKA MATAIFA YETU YA AFRIKA MASHARIKI KABLA NA BAADA YA UHURU

*NCHINI KENYA; hawa watu walisaidiana na wakikuyu kwa asilimia kubwa kufight ukoloni, ukiachilia mbalimbali MAUMAU 1955's ya kina Dedani Kimathi na mchango wa Jomo Kenyatta kwenye kufanikisha Uhuru huwezi kusahau juhudi za Mzee Ramogi Oginga ambaye inasemekana

ilikuwa ndiye awe raisi ila kwa hekima (alikuwa muumini wa ujamaa na hakuwa na tamaa hivyo ziliiva sana na Nyerere) akampisha Mzee Jomo Kenyatta kutawala kisha makubaliano kijiti kingepokezwa kwa mtawala wa kiluo atakayefata ila kilichokujatokea wote tunakijua mpaka leo ndiyo kwanza mtoto wa muasisi aliyeko madarakani anapanga kurejesha mizani mahali pake kwa kumkaimisha kiti mtoto wa muasisi wa kiluo hatujajua bado kama historia itaandikwa au la.

Kingine watu hawa ni wasomi sana na wako bright wengi wao yaani kiufupi sifa nyingi alizonazo muhaya hawa pia wanazo na ni watani wa jadi, hivyo kutokana na hili wajaluo wanamsaada mkubwa kwa maendeleo ya Kenya hasa pale inapojivunia kuwa na Population Index kubwa ya Human resource Afrika mashariki.

UGANDA; Uko Uganda tunatambua juu ya uwepo wa viongozi kadhaa wa kiluo ambao wengine michango yao iliimarisha taifa na kulishepu kuwa lilivyo leo(Milton Obote)na wengine walileta madhila makubwa na makovu yakabakia ya kihistoria(Iddi Amin Dada)

ZANZIBAR; Bila shaka unajiuliza huku Zanzibar pia mluo anausikaje? Jibu ni raisi tu kuwa yale mapinduzi tunayoyasherehekea leo hii huko visiwani Zanzibar kuna mluo alihusika pia kama kiongozi I think somebody Okelo if I'm not mistaken mtanishahihisha.

TANZANIA; Kama makabila mengine mluo pia alijumuhika na makabila mengine kabla na baada ya Uhuru kupigania na kulijenga taifa.

Mwalimu Nyerere akiwa muasisi wa taifa hili akuwa mtu wakudharau mambo ya asili na utamaduni hivyo sote tunamfahamu au tulizoea kumwona na kirungu chake ambacho akiachi mahala popote aendako inasemekana haliwai kukiacha mara moja tu mezani mikoa ya kusini akanawa mikono kwa ufundi uliopo huko na akukanyagapo tena, Utamaduni huu na zindiko hili la mataifa haya mawili

namaanisha Kenya na Tanzania(siri ya butiama) ulifanywa na nguli wa mitishamba na rafiki kipenzi wa Mwalimu bwana Ramogi Oginga ambapo mchango wake ndo moja ya vielelezo vya chini ya kapeti vya amani tuliyonayo bila kuwasahu wale wazee wadaslamu ukiachana na zile sababu zingine za msingi ulizosoma darasani.

Hivyo urafiki wake yule waziri wa ujenzi na mtoto wa huyu nguli haukuja kwa bahati mbaya mpaka akafanikiwa kuja kukalia kiti na kama angekuwa hai basi lazima angemsapoti mwaniaji huyu wa sasa kukalia kiti, ila inasemekana kuwa BTM ilimkataa ndiyo maana hakuweza kudumu kitini kwa muda mrefu. Naamini nimeeleweka.

Kuna mengi sana yamefanywa na hawa watu lakini zingine ni siri zibakizo siri can't be revealed here, nimalizie tu na hili unafikiri marekani walikuwa wajinga kuongozwa na mjaluo?

Bila shaka haikuwa ajali hata ukizingatia wakati wa uchaguzi watu walikuwa wakimchukulia trump kama hazimtoshi lakini matokeo ya uchaguzi ule yaliushangaza ulimwengu ndipo baadae

tunakuja kufumbuka macho kuwa kumbe huyu jamaa ni mwisraeli pia so vipi ukiunganisha doti na yule mluo unahisi sababu ni nini? bila shaka ni kule kuwa na damu yenye chembe chembe za u royal blood au wateule ambao ukiwabariki utabarikiwa na ukiwalahani utalaaniwa.

Hivyo usishangae ukiwakashifu waisraeli na wamisri huku marekani yeye akiwa anaziabudu tamaduni zao nakuzianika kwenye chapa,dollar,kuwapa hifadhi na kuwalinda by any means matokeo yake ni mapinduzi ya kiteknolojia na uchumi, dunia nzima tunaishia kutamka neno zee grete amerika.

NB:
References
Historical origins of the Luos by William Robert Ochieng (2002)

The Luo: a legendary history of the luo people of Africa from a biblical perspective: the history of descendants of Jews in the Nile valley who known as the Luo. Author George William Alenyo.

Further observation on Blood groups in East Africa tribes-jstor. Authors A.C. Allison, Elizabeth W. Ikin and A.E Mourant.

The black Jews of Africa history. Religion,identity by Edith Bruder

Proof that Luos lived Alongside the Jews in Egypt During the same period in history. Article; news.cdn.ampproject.org
Nilukuwa nimeanza kuisoma taarifa yako ila nahisi nikiendelea nitakuwa nimechoka bure..... YAANI HAPO MWANZO tayari umesema wa-nailotic walikuwa weupe wakitokea Misri. Sasa unataka kuniambia binadamu alitoka AFRIKA au alikuja Afrika?
 
Napenda wajuzi kama wewe kikubwa ni ulete hoja mezani nasiyo tantarira ukileta evidence inayosupport madai hayo na ikaweza kutoa ufafanuzi usiyo na mashaka utakuwa umetoa mchango wa elimu kwetu na tuta-appreciate mchango wako.

Nuhu -Shemu - Arfaksad - Sela - Eberi - Pelegi- Reu- Selugi-Nahori- Tera- Abrahamu- Isaka - Yakobo ndiye aliyekuja kuitwa Israeli; Soma Kitabu Cha Mwanzo 32:28

Na Kupitia Yeye Ndiyo Yakatokea Makabila 12 Ya Israel Kwa Uzao Wa Watoto Wake 12 Sasa Hapo Hakuna Uhusiano Wowote Na Uzao Wa Hamu (Blood Line)

Ili Uitwe MuIsrael Ni Lazima Utoke Kwenye Hiyo Cheni Hapo Sasa Wewe Umechanganya Mambo;

Hao Unaozani Kuwa Ni Waisrael Sio Wao Wanatoka Katika Koo Ya Kushi Ambayo Makazi Yake Yalikuwa Ethiopia Na Sio Misri,

Eneo La Misri Lilikuwa Chini Ya Mtoto Wa Hamu Aliekuwa Anaitwa Misri Kama Ilivyokuwa Kwa Kanani Waliyapa Majina Maeneo Kutoka Katika Majina Yao,

Nazani Ntakuwa Nimeeleweka Kidogo; Kama Kutakuwa Na La Nyongeza Tutajuzana

Lengo Letu Ni Kujifunza
 
Hakuna Uhusiano Wowote Kati Ya Uzao Wa Hamu Na Uzao Wa Israel Hawa Watu Wanatoka Katika Familia Mbili Tofauti Haya Ndiyo Madhala Ya Kuleta Stor Za Vijiweni;

Napenda wajuzi kama wewe kikubwa ni ulete hoja mezani nasiyo tantarira ukileta evidence inayosupport madai hayo na ikaweza kutoa ufafanuzi usiyo na mashaka utakuwa umetoa mchango wa elimu kwetu na tuta-appreciate mchango wako.
Asee inabidi uweke mambo yako vizuri kama ambavyo mtangulizi kasema.

Hamu katoka katika uzao wa Noah na hawa wanaoitwa Israel katika religious books ni watoto kumi na mbili wa Jacob.

Jacob ndiye alipewa jina Israel na Mwenyezi Mungu kwahiyo uzao wake ndio tafsiri ya kwanza ya neno Israel.

Japo kuna tafsiri ya kisiasa inayoeleza kwamba Israel ni taifa ambalo linapatikana middle east(hii hoja pia iko backed up na watu wa geography japo sina uhakika kama religion inakubaliana hii tafsiri ya Israel)

Mwisho kabisa,Israel imetafsiriwa na Paulo mtume katika barua zake kama kanisa(I can't tell exactly which verse does reveal this. Lakini ukisoma barua zake zote nadhani hii tafsiri utaipata).

Ulichoandika hapa kinaweza kuwa sahihi au vingine sema ungetoa maelezo mazuri kwamba unaposema Israel hapa unamanisha nini
 
Najua una shauku ya kutaka kujua ni kizazi gani hicho cha wana wa Israeli kinachozungumziwa, anyway tuanze na hili la mzaha kwanza hivi unajua kuwa asili ya baba yetu wa taifa ni MLUO?

Ndiyo ni kweli namaanisha na siyo mzaha ni kweli huyu ni mjaluo by origin.

Najua nimekushtua kidogo maana hili hata Madaraka wala Makongoro naamini linaweza washtua japo mama yake wanamuita mama Mgaya(Wakurya mmenielewa)

Swali lingine sasa ujaluo na wana wa Israeli wapi na wapi? Tafadhali usiwe na papara za kukomba mboga ukifikiri unalikomoa bakuli ambalo nalo limekubebea tu lina-wish ushibe; tafadhali ongozana nami:-

WAJALUO

Simulizi za mwanzo wa kabila hili ambazo zimefanywa na wataalamu mbalimbali wa historia na watafiti wa mambo kale wanatuambia kuwa kabila hili asili yake ni huko Israeli toka kwa wana wa Ham ambao baadae walihamia Kusini yaani eneo la Misri ya leo ambapo kizazi hiki kinaonekana kurelate sana na wakushi wakipindi hicho.

Kutokana na jadi ya ukulima,ufugaji,uunzi na uvuvi kabila hili halikuwa na budi ila kugawanyika katika magroup kadhaa wakati wa ku-migrate WAKIFATISHA (LUO) mto NILE(NAM-dilect ya sasa kumaanisha mto) hivyo neno LUO lilitokana na kufuatisha mto Nile (wa-Nilotic) na neno DHO-LUO au JA-LUO umaanisha kabila au mluo hapo naamini umeanza kunielewa.

Sasa hawa watu mwanzoni wakiwa Misri walikuwa bado na light skin japo ilikuwa imeshaanza kuwa chotara due to muingiliano ila baada kuingia Sudan nakuendelea hadi kenya, Tanzania,Uganda,Kongo n.k ile rangi yao ya asili ikamezwa na rangi yetu mujarabu yakiafrika yakuvutia yaani nyeusi tii kiasi cha mjaluo kuwa kinara wa makabila yanayoongoza kwa watu weusi ukanda huu.

Kama ilivyoada kadri unavyozidi kwenda mbali unazidi poteza asili, hivyo dialect standard/proper luo mpaka hivi sasa imebaki kuzungumzwa Kenya na Tanzania tu huku hao wa mataifa mengine let say wakaramanjong,Alur, padhola,acholi n.k wa Uganda na mataifa mengine uongea dialect nyingine yakiluo chenye mchanganyiko na lugha za wenyeji walipo.

Tuliache hilo ebu tuzungumzie LUO proper yaani hizi branches kuu mbili za waluo ambao ni raia wa Kenya na wale wa Tanzania; makundi hayo makuu(A.K.A Jo ramogi au Jo onagi)ni Kiseru, Girango,Sirati, Imbo na other luos.

Sasa hapa kwenye others luo ndipo tunakutana na ukoo wa Jo Kowango or Jo wanga (Jo- usimama badala ya neno watu wa au uzao wa)
Ambapo miongoni mwa watoto wake huyu Kowango ambaye alikwenda na kuoa mluhya hivyo muingiliano huu ukapelekea kupatikana kwa MZANAKI ambapo watu hawa walipovuka mipaka na kuja kuishi jirani na jamii za wakwaya,wakabwa,wakurya wakaanza kupoteza ile asili yao nakuishia kuanza kutambuliwa kama jamii ya WASUBA (Yaani LUO SUBA) sasa umeelewa kwanini nilianza uzi wangu kwa kumtaja Nyerere kuwa member wa kabila hili kiasili.

UPI NI MCHANGO WAO BASI KATIKA MATAIFA YETU YA AFRIKA MASHARIKI KABLA NA BAADA YA UHURU

*NCHINI KENYA; hawa watu walisaidiana na wakikuyu kwa asilimia kubwa kufight ukoloni, ukiachilia mbalimbali MAUMAU 1955's ya kina Dedani Kimathi na mchango wa Jomo Kenyatta kwenye kufanikisha Uhuru huwezi kusahau juhudi za Mzee Ramogi Oginga ambaye inasemekana

ilikuwa ndiye awe raisi ila kwa hekima (alikuwa muumini wa ujamaa na hakuwa na tamaa hivyo ziliiva sana na Nyerere) akampisha Mzee Jomo Kenyatta kutawala kisha makubaliano kijiti kingepokezwa kwa mtawala wa kiluo atakayefata ila kilichokujatokea wote tunakijua mpaka leo ndiyo kwanza mtoto wa muasisi aliyeko madarakani anapanga kurejesha mizani mahali pake kwa kumkaimisha kiti mtoto wa muasisi wa kiluo hatujajua bado kama historia itaandikwa au la.

Kingine watu hawa ni wasomi sana na wako bright wengi wao yaani kiufupi sifa nyingi alizonazo muhaya hawa pia wanazo na ni watani wa jadi, hivyo kutokana na hili wajaluo wanamsaada mkubwa kwa maendeleo ya Kenya hasa pale inapojivunia kuwa na Population Index kubwa ya Human resource Afrika mashariki.

UGANDA; Uko Uganda tunatambua juu ya uwepo wa viongozi kadhaa wa kiluo ambao wengine michango yao iliimarisha taifa na kulishepu kuwa lilivyo leo(Milton Obote)na wengine walileta madhila makubwa na makovu yakabakia ya kihistoria(Iddi Amin Dada)

ZANZIBAR; Bila shaka unajiuliza huku Zanzibar pia mluo anausikaje? Jibu ni raisi tu kuwa yale mapinduzi tunayoyasherehekea leo hii huko visiwani Zanzibar kuna mluo alihusika pia kama kiongozi I think somebody Okelo if I'm not mistaken mtanishahihisha.

TANZANIA; Kama makabila mengine mluo pia alijumuhika na makabila mengine kabla na baada ya Uhuru kupigania na kulijenga taifa.

Mwalimu Nyerere akiwa muasisi wa taifa hili akuwa mtu wakudharau mambo ya asili na utamaduni hivyo sote tunamfahamu au tulizoea kumwona na kirungu chake ambacho akiachi mahala popote aendako inasemekana haliwai kukiacha mara moja tu mezani mikoa ya kusini akanawa mikono kwa ufundi uliopo huko na akukanyagapo tena, Utamaduni huu na zindiko hili la mataifa haya mawili

namaanisha Kenya na Tanzania(siri ya butiama) ulifanywa na nguli wa mitishamba na rafiki kipenzi wa Mwalimu bwana Ramogi Oginga ambapo mchango wake ndo moja ya vielelezo vya chini ya kapeti vya amani tuliyonayo bila kuwasahu wale wazee wadaslamu ukiachana na zile sababu zingine za msingi ulizosoma darasani.

Hivyo urafiki wake yule waziri wa ujenzi na mtoto wa huyu nguli haukuja kwa bahati mbaya mpaka akafanikiwa kuja kukalia kiti na kama angekuwa hai basi lazima angemsapoti mwaniaji huyu wa sasa kukalia kiti, ila inasemekana kuwa BTM ilimkataa ndiyo maana hakuweza kudumu kitini kwa muda mrefu. Naamini nimeeleweka.

Kuna mengi sana yamefanywa na hawa watu lakini zingine ni siri zibakizo siri can't be revealed here, nimalizie tu na hili unafikiri marekani walikuwa wajinga kuongozwa na mjaluo?

Bila shaka haikuwa ajali hata ukizingatia wakati wa uchaguzi watu walikuwa wakimchukulia trump kama hazimtoshi lakini matokeo ya uchaguzi ule yaliushangaza ulimwengu ndipo baadae

tunakuja kufumbuka macho kuwa kumbe huyu jamaa ni mwisraeli pia so vipi ukiunganisha doti na yule mluo unahisi sababu ni nini? bila shaka ni kule kuwa na damu yenye chembe chembe za u royal blood au wateule ambao ukiwabariki utabarikiwa na ukiwalahani utalaaniwa.

Hivyo usishangae ukiwakashifu waisraeli na wamisri huku marekani yeye akiwa anaziabudu tamaduni zao nakuzianika kwenye chapa,dollar,kuwapa hifadhi na kuwalinda by any means matokeo yake ni mapinduzi ya kiteknolojia na uchumi, dunia nzima tunaishia kutamka neno zee grete amerika.

NB:
References
Historical origins of the Luos by William Robert Ochieng (2002)

The Luo: a legendary history of the luo people of Africa from a biblical perspective: the history of descendants of Jews in the Nile valley who known as the Luo. Author George William Alenyo.

Further observation on Blood groups in East Africa tribes-jstor. Authors A.C. Allison, Elizabeth W. Ikin and A.E Mourant.

The black Jews of Africa history. Religion,identity by Edith Bruder

Proof that Luos lived Alongside the Jews in Egypt During the same period in history. Article; news.cdn.ampproject.org
Story za kubumba hizi,kama Hawa waruo ndio Taifa teule,mbona hawana kitu!?
Ungeniambia Muhaya,Mkikuyu,Mchanga,Ibo,ndio kizazi Cha Israel!,ningekuelewa,Hawa uliowataja hakuna kitu,unawezaje kuwa na damu ya kiyahudi,harafu vijana wake wanawaza kuwa walinzi kwenye makampuni ya Ulinzi,ukiwa mtaani,ukiona shule Kuna walinzi,asilimia kubwa watakuwa vijana wa kikulya,luo,au waha!!
Ukiona duka la rejareja,huyo ni mangi!
Ukiona V8 limekatiza huyo ni mangi au mhaya.
 
Nuhu -Shemu - Arfaksad - Sela - Eberi - Pelegi- Reu- Selugi-Nahori- Tera- Abrahamu- Isaka - Yakobo ndiye aliyekuja kuitwa Israeli; Soma Kitabu Cha Mwanzo 32:28

Na Kupitia Yeye Ndiyo Yakatokea Makabila 12 Ya Israel Kwa Uzao Wa Watoto Wake 12 Sasa Hapo Hakuna Uhusiano Wowote Na Uzao Wa Hamu (Blood Line)

Ili Uitwe MuIsrael Ni Lazima Utoke Kwenye Hiyo Cheni Hapo Sasa Wewe Umechanganya Mambo;

Hao Unaozani Kuwa Ni Waisrael Sio Wao Wanatoka Katika Koo Ya Kushi Ambayo Makazi Yake Yalikuwa Ethiopia Na Sio Misri,

Eneo La Misri Lilikuwa Chini Ya Mtoto Wa Hamu Aliekuwa Anaitwa Misri Kama Ilivyokuwa Kwa Kanani Waliyapa Majina Maeneo Kutoka Katika Majina Yao,

Nazani Ntakuwa Nimeeleweka Kidogo; Kama Kutakuwa Na La Nyongeza Tutajuzana

Lengo Letu Ni Kujifunza
Asante kwa ufafanuzi mzuri nimejifunza na nimekubaliana na wewe kwa asilimia zote, kiufupi reference zote nilizowasilisha hapo kwenye uzi ambazo nilizipitia nakuja na general summary zinauelezea mwanzo wa kabila hili kuwa na muunganiko na Jews (wayahudi) hivyo pengine ni mistake kwangu ku-generalize kuwa kila mwenye asili ya kiyahudi ni mwisraeli but all in all ni descendant ile ile inayofatisha generation tree ya tokea Adam mpaka Noah.

Swali hapa ni kuwa lini hasa wayahudi walianza kuexist kwenye hiyo historia je ni tokea alipoumbwa Adam (yaani according to Bible nae alikuwa myahudi) au wayahudi ni sifa ya wana wa Yakobo tu?
 
Kila kabila linajipendekeza kwa Waisrael ili lionekane la maana

Fact is,you are an African

Stop these lucid dreams!

They are not real,they are just myths,stop these fantasies!

No historical facts no DNA facts whatsoever to support any of these!

You are all Africans,Africans are good and smart people,be happy who you are!

Do not validate yourself by forcing yourself on others who dont claim you by any means!

Upumbavu mtupu
Hapa tunaongea by tafiti na evidence na siyo mihemko au mitizamo yetu binafsi kuhusiana na topic, wenzyo wamefanya tafiti mbalimbali mpaka na DNA wamezioanisha kupata matokeo, ulipaswa kuvisoma vitabu nilivyoorodhesha hapo kwanza vikakupa mwanga(Vingi ni PDF rahisi kuvidownload mtandaoni) kisha uje utuoneshe weakness ya waandishi hao upande wa hoja zao kukosa mashiko.
 
Asante kwa ufafanuzi mzuri nimejifunza na nimekubaliana na wewe kwa asilimia zote, kiufupi reference zote nilizowasilisha hapo kwenye uzi ambazo nilizipitia nakuja na general summary zinauelezea mwanzo wa kabila hili kuwa na muunganiko na Jews (wayahudi) hivyo pengine ni mistake kwangu ku-generalize kuwa kila mwenye asili ya kiyahudi ni mwisraeli but all in all ni descendant ile ile inayofatisha generation tree ya tokea Adam mpaka Noah.

Swali hapa ni kuwa lini hasa wayahudi walianza kuexist kwenye hiyo historia je ni tokea alipoumbwa Adam (yaani according to Bible nae alikuwa myahudi) au wayahudi ni sifa ya wana wa Yakobo tu?
Wayahudi uwepo wao na wao ni akina nani nadhani hii story iko disputed, nasema hivi kwa maana kuna watu watakwambia wapo mpaka Africa, wengine wanasema wapo tu katika taifa linaloitwa Israel kwa sasa na wengine utaja uwepo wao Marekani,Palestine na kuendelea

Lakini ukiangalia kwa uzuri kitu kinachoonekani kwamba Wayahudi wana connection na Judah ambaye ni mtoto wa Jacob, katika tribe of Judah ndipo yupo David and Solomon, na wayahudi utumia symbol wanayoita star of David.

Mwisho kabisa kama Adam naye angekuwa na Myahudi(kitu ambacho sijui kama ni kweli) maana yake ni kwamba wote tungekuwa Wayahudi(kulingana na maelezo ya vitabu vya dini wanasema wote ni watoto wa Adam ila si wote tuko katika uzao wa Judah)
 
Story za kubumba hizi,kama Hawa waruo ndio Taifa teule,mbona hawana kitu!?
Ungeniambia Muhaya,Mkikuyu,Mchanga,Ibo,ndio kizazi Cha Israel!,ningekuelewa,Hawa uliowataja hakuna kitu,unawezaje kuwa na damu ya kiyahudi,harafu vijana wake wanawaza kuwa walinzi kwenye makampuni ya Ulinzi,ukiwa mtaani,ukiona shule Kuna walinzi,asilimia kubwa watakuwa vijana wa kikulya,luo,au waha!!
Ukiona duka la rejareja,huyo ni mangi!
Ukiona V8 limekatiza huyo ni mangi au mhaya.
Ni kweli kwa mtizamo wa kawaida ndivyo ilivyo japo nikukosoe kuwa waluo si walinzi tu, bali wengi wa vijijini ni wavuvi, wahunzi wazuri wa vyungu na pia silaha yao ya jadi ni mkuki maana wanaasili ya wafua chuma wa zamani(Meroe ya kale),

Mpaka leo fani za wajaluo walio wengi ambao hawana elimu kubwa ni mafundi iwe uashi,magari, useremala,n.k si wazuri sana kwenye kilimo, kumbuka jamii ya wajaluo wanaopatikana Tz ni ndogo sana upatikana wilaya moja tu ya Rorya hivyo haitoshi kuwashindanisha na makabila hayo mengine yenye idadi kubwa ya watu ndani ya Tanzania.

Wajaluo wenye maendeleo atleast wapo huko Kenya ndo tufanye case study pia wajaluo walio wengi ni intellectuals na siyo wafanyabiashara kama Kikuyu, chagga, kinga na hao niloona ukiwalinganisha nao.
 
Asante kwa ufafanuzi mzuri nimejifunza na nimekubaliana na wewe kwa asilimia zote, kiufupi reference zote nilizowasilisha hapo kwenye uzi ambazo nilizipitia nakuja na general summary zinauelezea mwanzo wa kabila hili kuwa na muunganiko na Jews (wayahudi) hivyo pengine ni mistake kwangu ku-generalize kuwa kila mwenye asili ya kiyahudi ni mwisraeli but all in all ni descendant ile ile inayofatisha generation tree ya tokea Adam mpaka Noah.

Swali hapa ni kuwa lini hasa wayahudi walianza kuexist kwenye hiyo historia je ni tokea alipoumbwa Adam (yaani according to Bible nae alikuwa myahudi) au wayahudi ni sifa ya wana wa Yakobo tu?

Wayahudi Au Jews Hawa Wanatoka Ktk Familia Ya Yuda Moja Kati Ya Watoto 12 Wa Mzee Yakobo Huyu Alikuwa Ni Mtoto Wa 4 Kwa Mke Mkubwa Aliyekuwa Anaitwa Lea,
Ndiyo Kabila Alilotoka Mfalme Daudi Mfalme Suleimani Na Ndiyo Kabila La Yesu;
Ni Moja Kati Ya Kabila Lenye Nguvu Kati Ya Makabila Yote 12;
Alama Ya Kabila Hili Ni Simba Na Ndiyo Maana Yesu Anaitwa Simba Wa Kabila La Yuda,
Ili Uwe Myahudi Ni Lazima Utoke Katika Familiya Hii; Kwahiyo Unaweza Kuwa Muisrael Ila Usiwe Myahudi
Israel Inawakilisha Makabila Yote 12 Ili Uwe Muisrael Ni Lazima Utoke Kwenye Moja Kati Ya Hayo Makabila
 
Acha upumbavu

Hakuna FACT yeyote historical wala DNA!

Huna lolote la kuniambia ndugu

Huna link huna lolote la kunipa....

Vitabu this vitabu that,as if umesoma vitabu vyote duniani hadi vinavyopinga hivyo vitabu vyako?

Hujasoma chochote,umesoma hivyo unavyotaka wewe,critique wake hujasoma,huna lolote

Tangu lini Jaluo akawa na DNA connection with Israelite?

Never!

Watutsi wanadai ni Waisrael
Wakikuyu wanadai ni Waisrael
Wachagga wanadai ni Waisrael
Wajaluo mnadai ni Waisrael
Wamasai wanadai ni Waisrael
Igbo wanadai ni Waisrael
etc
etc
etc

Mbwa wote,kaeni kwa kutulia muendeleze bara lenu mpate maendeleo,mnajipendekeza msikotakiwa

Self hating apes!

Ugonjwa unaoumwa kitaalamu ujulikana kama I.I.A yaani International Intellectual Arrogance. Acha kuwa na phobia yakutaka kukariri jambo unavyotaka wewe ndo linavyopaswa kuwa hata kama hauko sawa.

Umetukana tukana kweli kwa mtizamo wako wa inferiority complex ulitaka sijuhi litajwe kabila lako mbona hata sisi wengine ya kwetu hayajatajwa na nimefikiri una akili timamu nikakupa rejea ya kujisomea kumbe nilikuwa namfundisha ng'ombe kujitawaza.

Ukiona wengine wanaangaika kujua asili yao usiwadiscourage kwa kuwa at least wao wana ufahamu wameanza kuhamka nakujitafuta ila jiulize wewe kwanini ujijuhi zaidi ya kuhubiri uafrika kwani nani amekwambia watu wote waliomo afrika hawana asili toka maeneo mengine au hujui umuhimu wa historia na madhara ya kuishi bila kuweka record ndo haya yanayotufanya sasa hivi tubishane hapa.
 
Unatufunga kamba. Israel is a fictional tribe ambalo kila mmoja sasa anajiita Muisrael.
 
Back
Top Bottom