Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
WanaJF intelligence habari za asbuhi.... Bila kupoteza muda ningependa kwenda mojamoja kwenye mada ...... Je upi ni ukweli kuhusu philadelphia experiment? Inasemekana mnamo october 28, 1943 meli...
4 Reactions
25 Replies
8K Views
Kuna maswali mengi kuhusu Mungu huwa najiuliza, mpaka SAA nyingine huwa namkasirikia Mungu (maybe nakufuru lakini acha iwe hivyo).Bcoz kwa ninavomuwazia Mungu ingekuwa ni heri nisingezaliwa. 1)...
41 Reactions
905 Replies
101K Views
Kumekuwa na watu wengi tena wasomi na wengine ni viongozi wa serikali wanajua kwamba Ukisema mwanajeshi ni yule wa Jwtz ila ukisema askari ni wale wa mambo ya ndani yaani Magereza,polisi...
11 Reactions
88 Replies
13K Views
1. MUHAMMAD (a.i.j.y/p.b.u.h/s.a.w) Huyu ni mtume wa Mungu katika imani ya Dini ya Kiislam. Ndiye aliyeteremshiwa kitabu cha Quran Tukufu na kuasisi Dini ya Uislam. Matendo yake, maisha yake...
5 Reactions
63 Replies
6K Views
Wadau salamu!. Kumekuwa na matukio mengi ya askari kuua na kusema waliouawa ni majambazi na hakuna uchunguzi zaidi kuchukuliwa. Mimi naomba leo tujadili Dhumuni la kuunda Jeshi la Polisi hapa...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi wana wa Mungu Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa, naamini hata we ulipo uko mzima wa afya na mwenye nguvu. Bibilia imeandikwa Hapo mwanzo Mungu...
3 Reactions
56 Replies
7K Views
Katika kuperuzzi vitabu library leo nimevutiwa kukushirikisha kuisoma KAMUSI YA SHETANI (By Bierce A.), nakuomba tuongozane pamoja katika tafsiri ya baadhi ya maneno niliyoona kwa namna moja au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam, katika Biblia ya kikatoliki, kuna kitabu cha Judith, huyu alikuwa msichana wa kiyahudi aliyejifanya kahaba ili anunuliwe na mfalme pinzani wa Israel, inasemekana aliponunuliwa akamkata...
7 Reactions
64 Replies
6K Views
Sina budi kusema kuwa inawezekana tumedanganywa sana au nimepotoka pia kuamini hili. Kupitia speculations zangu nimekuja kung'amua kuwa hatupaswi kuwa na ugomvi wa kidini na kimadhehebu kwa kuwa...
11 Reactions
41 Replies
7K Views
Mbinu Tano njia ya mahojiano kati ya polisi na watuhumiwa Mbinu tano ni njia za mahojiano zilizobuniwa na jeshi la Uingereza na kutumika wakati wa machafuko Ireland ya Kaskazini. Mbinu hizi...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza hasa pale unapo waza utofauti wa utashi,maisha teknolojia na maendeleo uliopo baina ya waafrica na wazungu. Unaweza ukajiuliza kwanini? wametuacha mbali sana...
8 Reactions
138 Replies
25K Views
Sababu ya usiri wa kazi zao imefikia mahali tunawalaumu sana kwamba hawafanyi kazi ila tukichukulia yale ambayo yamewekwa hadharani kuhusu utendaji wa hawa jamaa basi hatuna budi kuwaheshimu na...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari yenu wana Jf Bila Shaka mpo salama na kuzidi kupambana na Maisha ya kila siku. Kama ilivyo Ada hapa Jamii intelligence tunapashana habari mbalimbali za nadharia na zenye uhalisia Kama...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari za mida hii wajuzi wa mambo katika jukwaa pendwa la Jamii Intelligence :' Leo napenda kutoa mchango kidogo sana, inaenda kuhususiha Artificial creaation( uumbaji bandia) unavyochukua...
22 Reactions
129 Replies
14K Views
Katika ulimwengu tunaoishi tumefumbwa vingi na wachache werevu pengine ni kwa makusudi au ni kwa malengo fulani ambayo hili yatimie imewapasa kufanya hivyo, Leo naomba kugusia interest za wana...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kila mtu amesikia au kuoana kwa uhalisia, taarifa au katika filamu mateso na ukatili binadamu wanaofanyiana kati yao. Tofauti katika mateso ya binadamu mmoja kwa mwingine na yale wanayofanyiana...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Hodi wakuu wataalam wa mambo. Leo ninahitaji mnisaidie jambo moja kuhusu nguvu iliyopo ndani ya damu inasababishwa na nini? Damu kimekuwa ni kitu ambacho kinaaminika kubeba maajabu na nguvu za...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
KUNA USEMI HADI LEO WANAAMINI KUWA SIKU MOJA MBINGUNI NI SIKU ELFU MOJA DUNIANI ILA UKIANGALIA DUNIA IMEPITA MIAKA ZAIDI YA BILLIONI OF YEARS HADI PALE WALIPO JUA KUHESABU NA KUANZA MWAKA 1 HADI...
12 Reactions
242 Replies
24K Views
'Kufa kufaana' tupo duniani 'kuchumia tumbo' na hakuna dhambi nikitenda dhambi kwa sababu ipo hili niitende niishi, Niende moja kwa moja kwenye hoja:- Lengo la kutengeneza silaha nikuua watu, nia...
5 Reactions
49 Replies
7K Views
Back
Top Bottom