TRIPLE H
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 651
- 349
Wakuu,
Nimeona nije hapa na hii kitu ambayo bila shaka kila mmoja wetu amewahi kukisikia au hata kushiriki ktk matumizi ya vitu hivyo kwenye sayansi ya uchawi.
Mara nyingi ukienda kwa mganga, labda akufanyie dawa ili mtu fulani anayekusumbua akomeshwe, atakuagiza umpelekee nguo ya ndani ya muhusika au kucha zake, nywele, ped, uchote mchanga wa mahali alipokanyaga na mambo kama hayo.
Ukishampelekea mganga vitu hivyo au mojawapo ya vitu hivyo utaambiwa huende uviweke mahali fulani baada ya kuvitamkia maneno fulani fulani (manuizo) na hasa nyakati za usiku.
Sasa naomba wajuzi wa mambo mnijuze hasa, hivyo vitu kutoka kwenye miili yetu vina nguvu gani kiroho? Na huku KUNUIZA huku kuna nguvu gani hasa? Na kwa nini mambo haya mara nyingi yanafanyika USIKU?
Tusaidiane.
Nimeona nije hapa na hii kitu ambayo bila shaka kila mmoja wetu amewahi kukisikia au hata kushiriki ktk matumizi ya vitu hivyo kwenye sayansi ya uchawi.
Mara nyingi ukienda kwa mganga, labda akufanyie dawa ili mtu fulani anayekusumbua akomeshwe, atakuagiza umpelekee nguo ya ndani ya muhusika au kucha zake, nywele, ped, uchote mchanga wa mahali alipokanyaga na mambo kama hayo.
Ukishampelekea mganga vitu hivyo au mojawapo ya vitu hivyo utaambiwa huende uviweke mahali fulani baada ya kuvitamkia maneno fulani fulani (manuizo) na hasa nyakati za usiku.
Sasa naomba wajuzi wa mambo mnijuze hasa, hivyo vitu kutoka kwenye miili yetu vina nguvu gani kiroho? Na huku KUNUIZA huku kuna nguvu gani hasa? Na kwa nini mambo haya mara nyingi yanafanyika USIKU?
Tusaidiane.