Angalizo napenda kuulizia na kuzungumzia muundo wa majeshi mengi au yote Duniani.Siulizii kwa jeshi la nchi moja tu.
Mara nyingi nchi nyingi zina jeshi moja lililogawanyika mara mbili au tatu...
Tunapozungumzia idara ya Usalama wa Taifa na jinsi imeiangusha serikali yetu na kuweka usalama wa taifa letu hatarini nafasi ya Bw. Apson Mwang'onda haiwezi kupuuzwa. Baadhi ya matukio yaliyotokea...
Salam wakuu
Straight to the point... Tumeshuhudia nchi nyingi sana za Africa magharibi uongozi wa juu (Rais) akipinduliwa na Jeshi kuingia madarakani. Miezi michache iliyopita luteni kanali...
Habari nyingi kwenu.
Huwa nafanya jambo hili sana ila sijui nini maana yake...
Kuna wakati naamua kuitazama sura yangu kwenye kioo kama sekunde 30 hadi dakika moja baada ya hapo naona sura...
THE BOOK OF THE DEAD ni jina linalo-mislead ukweli fact ni kuwa hili ni jina la kubambikiwa tu na lilianza kutumika katika karne ya 19, vitabu au kurasa za maandishi haya yalikuwa yakiandikwa...
Kuna vifo vinaendelea kutokea lakini hatuambiwi ni kina nani hasa.... Utambulisho wao hauwekwi wazi... Tunaambiwa tu ya kwamba aidha wanamalizwa au wanamilizana kufuta ushahidi damu ya mtu...
Code of civilization, hii ni siri ambayo inafanya dunia ikalike na kutawaliwa na mwanadamu. Siri hii ni Dini na mafundisho yake yote kwa ujumla.
Katika ulimwengu huu wa dunia, kitu pekee...
E bwana embu tuchangiane mawazo huyu kiumbe shetani ni kiumbe mwenye nguvu sana ,kiukweli anatisha ,ni hivi
Ameweza kumiliki jeshi la mbinguni
Ameharibu mipango mingi ya Muumbaji,
Licha ya...
Habari wanajamii.
Nimeona ni shiriki pamoja nanyi kuhusu maana halisi ya neno komando (Commando) na namna linavyotumika jeshini..
Neno komando lilitumika na utawala wa kiholanzi (dutch cape...
Ukiniuliza ungependa tuwe na serikali moja ya ulimwengu, mimi ningesema ndiyo kwani ingeweza kupunguza political instabilities ulimwenguni na kuongeza umoja na mshikamano. Mboki na Gaddafi...
Habari zenu wakuu.
ukimsoma Harith Hasan kwenye" kwaheri ukoloni kwaheri uhuru" unaona kua wakati wa mapinduzi ya Zanzibar Jemedari mzee Karume alikuwa Dar- es Salam kwa ajili ya usalama wake na...
Kwenye viunga vya St Peters kutoka 1995 hadi 2005 kinatajwa kuwa ni kipindi kigumu sana kwa Tanzania kufuatia mambo kadhaa wa kadha yaliyofuatana. Mosi ilikuwa nchi haijatengamaa kiuchumi tangu...
BBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7...
Niseme tu ukweli kwamba kiasi fulani nakereka na hii imani ya kuchorana chorana na majivu kwa hii siku inaitwa Jumatano ya majivu.
Hebu nieleweshwe labda nikielewa ntaiona sawa..
=======...
An alleged secret network of especially nonelected government officials and sometimes private entities (as in the financial services and defense industries) operating extralegally to influence and...
Habari za asbuhi wana jukwaa, niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema je Giants/Majitu makubwa yanayoelezwa kufika hadi futi 45 waliwahi kuishi hapa duniani?? na kama...
Habari,
Katika hali ya kawaida leo nimeona tuandike hili kidogo kwamba kwa maandiko Shetani aliasi Mbinguni Mwenyezi Mungu akamleta Duniani kama adhabu, Leo hii tunaaswa tuishi katika kumpendeza...
15 December 2021
Dr Mpoki Ulisubisya (A former Cardiac Anaesthesiologist) - What caused COVID 19's vaccine to be developed so fast?"
Tanzanian's High Commissioner to Canada - Answering...
Nianze tu kwa kusema sijui ni kwanini na ni nini katika maisha yangu toka nikiwa mdogo.
Nimekuwa na tabia ya kuota nafanya kitu flan na itapita miaka kama mitano hivi au zaidi nakutana na kile...
Salaam nyingi sana kwenu wadau wa Jukwaa hili linalotumia ubongo mwingi sana huku nguvu za Mwili zikiwa kisoda.
Katika mambo ambayo nimewahi kuyafikiria na sikuwahi kupata majibu au kukaribiana...